Kwanini ndege haiwezi kufikia anga ya bluu?

Kwanini ndege haiwezi kufikia anga ya bluu?

Pole sana elimu ndugu hapa ndo tatizo,,,, nahisi ni walewale ukiwaambia kua Rangi zote zionekazo hapa duniani ni mchanganyo wa Rangi kuu Tatu RGB Red,Green and Blue......... Hakuna anga la blue huo ni mwisho wa kuona kwako...... Kasome Advanced Physics topic ya light Nelckon... Utaelewa tu ama Google.... Kua Why blue sight at the far universe.... Jibu ukipata rudisha humu kwa faida ya wengine...

mkuu wewe kama unayo iyo elimu c ndo utoe maelezo sasa tukuelewe mkuu
 
Pole sana elimu ndugu hapa ndo tatizo,,,, nahisi ni walewale ukiwaambia kua Rangi zote zionekazo hapa duniani ni mchanganyo wa Rangi kuu Tatu RGB Red,Green and Blue......... Hakuna anga la blue huo ni mwisho wa kuona kwako...... Kasome Advanced Physics topic ya light Nelckon... Utaelewa tu ama Google.... Kua Why blue sight at the far universe.... Jibu ukipata rudisha humu kwa faida ya wengine...

mbona wengine wanasema hiyo ni maji?
 
mkuu wewe kama unayo iyo elimu c ndo utoe maelezo sasa tukuelewe mkuu

safi sana mkuu eti jamaa anasema anajua kila kitu mbona hataki kuiweka hapa kwa faida ya kina kayumba?
 
Ila rangi ya blue ni mwanga wa jua au mwanga ulioakisi kutokana na umbo la dunia kutoka kwenye jua...sasa ukitaka kuchunguza hiyo blue inachange wakati gani, angalia mida ya asubuhi kuanzia saa 12 za asubuhi chunguza rangi ya blue kama ipo au la na pia chunguza ile rangi ya blue hupotea mida gani ya jioni sana sana wakati jua linazama ile rangi ya blue inapotea angani.

Ukitoka katika uso wa dunia kwenda angani kwa kutumia roketi, kuna mwisho wa mwanga ulimwengu huu wa dunia, ukiuvuka huo mwisho wa mwanga kama unazidi kwenda juu zaidi au kwenda angani zaidi ndipo hapo ile rangi ya blue inakuwa haipo anga linakuwa jeusi kama lilivyo anga nyakati za usiku. Kabla ya kuuvuka ule mstari anga linaonekana la blue, ukiuvuka tu huo mstari anga linakuwa jeusi kama nyakati za usiku.

Ni hayo tu!
 
Ila rangi ya blue ni mwanga wa jua au mwanga ulioakisi kutokana na umbo la dunia kutoka kwenye jua...sasa ukitaka kuchunguza hiyo blue inachange wakati gani, angalia mida ya asubuhi kuanzia saa 12 za asubuhi chunguza rangi ya blue kama ipo au la na pia chunguza ile rangi ya blue hupotea mida gani ya jioni sana sana wakati jua linazama ile rangi ya blue inapotea angani.

Ukitoka katika uso wa dunia kwenda angani kwa kutumia roketi, kuna mwisho wa mwanga ulimwengu huu wa dunia, ukiuvuka huo mwisho wa mwanga kama unazidi kwenda juu zaidi au kwenda angani zaidi ndipo hapo ile rangi ya blue inakuwa haipo anga linakuwa jeusi kama lilivyo anga nyakati za usiku. Kabla ya kuuvuka ule mstari anga linaonekana la blue, ukiuvuka tu huo mstari anga linakuwa jeusi kama nyakati za usiku.

Ni hayo tu!

mkuu tuambiane ukweli tu mbele za mungu, kwani umeshawahi kupanda roketi kweli?
 
Ili ujue kwa nini unaona anga lina rangi ya blue inabidi ujifunze kuhusu light and earth's atmosphere,.. The blue color of the sky is due to Rayleigh scattering.
 
Back
Top Bottom