Usiwe Ukawa wewe,hakuna mawingu ya bluu,hiyo bluu unayoiona ni mwisho wa uwezo wako wa kuona....hata ukitumia kifaa gani huwezi ukafika sehemu ukasema hapa ndo kwenye anga la bluu...mfano mwingine ni kwenye barabara ndefu iliyonyooka unaona kama kwa mbali kuna majimaji na vijimoshimoshi lakini ukifika pale hukuti maji wala hivo vijimoshimoshi....rudi shule sasa ni elimu bure
mkuu acha fiksi bana unamaanisha yale ya blue ni maji? duh hii kali bana,kwa hiyo siku yakimwagika wote tuna RIP kwa mafuriko,ngoja kwanza niwatonye DAWASCO
mkuu usitake kutulazimisha tukubaliane nawe sawa, weka hapa ushahidi wa kutosha kama kweli ni ukomo wa kuona wa binadamu, sio unatuletea hoja nyepesi nyepesi na zisizo na mashiko yoyote.
anga halina mwisho wala rangi. Huko unakotaka ndege ifike hakuna kani uvutano - sijui kani uvutano inaitwa nini kingreza mii nilisoma kayumba na kuishia huko.
Nenda kasome Biblia mwanzo sura ya pili katika habari za uumbaji
"MUNGU AKAFANYA ANGA LIYATENGE MAJI YALIYO CHINI NA MAJI YALIO JUU, MAJI YALIO CHINI AKAYAFANYIA MIKUSANYIKO AKAYAITA BAHARI" mwisho wa kunukuu maandiko kwa maaelezo zaidi soma mwanzo sura ya 2
----- nini ,hilo ni swala la kwenda shule tu na si swala la mi kuweka ushahidi hapa ka mahakamani.....ukishindwa ingia google
sasa mkuu ile ya blue ni kitu gani?
mkuu ukitaka nikuamini labda uweke picha tuone
Mkuu yale ile bluu ni maji kwa mujibu wa uumbaji katika Biblia " MUNGU AKAANZA KUINYESHEA NCHI MVUA TENA MUNGU AKAFUNGULIA MADIRISHA YA MAJI YALIYO JUU" mwisho wa kunukuu. huu ni uthibitisho tunao upata katika kitabu cha mwanzo sura 9
katika kipindi cha Nuhu wakati lilipotokea gharika, kwa maelezo zaidi kasome hiyo sura ya 9
mkuu bado ngumu kukuamini labda uweke kapicha
Kafiir.we huko
hihihii eti anga la blue
Ndio maana nilitangulia kusema kuwa kwa akili za kibinadamu ni vigumu kufahamu ila ukilud kwenye maandiko utaelewa
kwa elimu hiyo ya darasani mtabishana sana hapa na jibu halita patikana.
anga halina mwisho wala rangi. Huko unakotaka ndege ifike hakuna kani uvutano - sijui kani uvutano inaitwa nini kingreza mii nilisoma kayumba na kuishia huko.
Wakuu kuna una uzoefu wa kusafiri kwa ndege, hivi ulishawahi kujiuliza kwa nini ndege ina uwezo wa kufikia mawingu meupe ya mvua lakini haina ubavu wa kufikia anga/mawingu ya bluu? Why?
ngoja waje wajuaji waseme hapa
Kwani huko zinakopita sasa Luna traffic jam hadi watafute njia mbadala?!
kwa hiyo una maanisha uwezo wa binadamu kuona ni hiyo anga ya bluu? acha uongo wewe