Kwanini ndege haiwezi kufikia anga ya bluu?

Kwanini ndege haiwezi kufikia anga ya bluu?

Mambo mengine kwa akili za kibinadamu ni vigumu kufahamu ila kwa wale wasomaji wa Biblia watakubaliana na mimi kuwa ile wanayo inona bluu kule juu ni maji.

100% right!
 
Ili ujue kwa nini unaona anga lina rangi ya blue inabidi ujifunze kuhusu light and earth's atmosphere,.. The blue color of the sky is due to Rayleigh scattering.

loading....
 
Unataka ziende kufanya nini huko na hakunako abiria?! Wakati zinatakiwa zimalizie safari kwa kutua Airport

aaaaaaamkuu unachekesha kwani ndege zikipita katika anga la kawaidi uwa inafuata abiria mawinguni au?
 
hakuna anga la blue asee, ila katika physics kuna kitu mtu anaitwa doppler alikuja na theory zake za blue shift na red shift alielezea hii kitu jiulize kwa nin nyota za anga la mbali zinatoa mwanga wa blue kuliko nyota za karibu ambazo zinatoa mwanga wa rangi nyekundu the same applied kwenye anga
 
hakuna anga la blue asee, ila katika physics kuna kitu mtu anaitwa doppler alikuja na theory zake za blue shift na red shift alielezea hii kitu jiulize kwa nin nyota za anga la mbali zinatoa mwanga wa blue kuliko nyota za karibu ambazo zinatoa mwanga wa rangi nyekundu the same applied kwenye anga

mkuu embu fafanua zaidi tukuamini
 
Sasa hapa UKAWA wameingiaje? Mbona hata mie najua hilo na ni PRO UKAWA ingawa si Ukawa kabisa?

Hiyo umeandika kuwa barabarani unaona majimaji na nk ni kama jua kali au kuna joto kali. Inaitwa MIRAGE kwa lugha ya wenzetu. Pia huweza kuonekana vizuri kwenye maji. Kwa mfano ukaweka kalamu kwenye glass ya maji utaona imepinda.

Hivyo acha kuingiza mambo ya SIASA hapa na kuwaambia UKAWA warudi shule.

Muone kwanza, uso kama kama umepitiwa na MPEMBA EFFECT, hehehehee.....

350px-Farallon_Islands_at_inferior_mirage_no_mirage_and_superior_mirage.jpg


UTANI PEMBENI: Nilishafika Antalya na nikaenda kisehemu kinaitwa BELEK ambako kunafahamika kwa kuwa na viwanja vizuri sana vya Golf na mmoja ya Wageni maarufu huko kila mwaka ni Tiger Wood. Ukiwa ufukweni mwa bahari na ukaangalia upande wa Kaskazini yaani upande ulipo mji wa Antalya, kuna MILIMA ambayo mchana huwezi kuiona kabisa.
Siku moja nikachukua CAMERA na kutumia ZOOM na nikaona vizuri sana. Ila ikifika jioni sana wakati jua limeshazama, basi hujifunua na kuonekana kwa uwazi mno kwa macho. Hiyo picha juu ni mfano halisi wa UDHAIFU wa macho yetu.
*** Nasikia kuna jamaa alikuwa na matatizo ya MACHO na alipopelekwa kwenye Space Station akawa anaona ardhini hadi magari yakipita na watu wanatembea. Hivi huyu alikuwa mtu wa kawaida au ni kuwa Mungu kampa CURVES za kipekee kwenye Macho yake?
LONG LIVE JF na shule yake. Ila tuache kutukanana na kubishana nila ustaarabu.
PIECE >> https://www.youtube.com/watch?v=rAtJnQ8OiVw
Usiwe Ukawa wewe,hakuna mawingu ya bluu,hiyo bluu unayoiona ni mwisho wa uwezo wako wa kuona....hata ukitumia kifaa gani huwezi ukafika sehemu ukasema hapa ndo kwenye anga la bluu...mfano mwingine ni kwenye barabara ndefu iliyonyooka unaona kama kwa mbali kuna majimaji na vijimoshimoshi lakini ukifika pale hukuti maji wala hivo vijimoshimoshi....rudi shule sasa ni elimu bure
 
Wakuu kuna una uzoefu wa kusafiri kwa ndege, hivi ulishawahi kujiuliza kwa nini ndege ina uwezo wa kufikia mawingu meupe ya mvua lakini haina ubavu wa kufikia anga/mawingu ya bluu? Why?

Elimu ya bure kijana hicho unachokiona kama blue sio anga ila Ni rangi ya miale mifupi itokayo kwenye jua (Short wave radiation) yenyewe ina rangi ya blue kwa asili na kwakua haina uwezo wa kusafiri umbali mrefu usambaaa angani na kufanya anga liwe la blue (scattering process ) kitendo hicho hakina totauti na urushaji wa mafataki ya rangi angani ambayo usababisha anga kuwa na rangi ya fataki asante wako ktk kujenga taifa mkatagogo kwa wembe
 
Katika huo utafiti wako unaweza kuniambia kuwa nani aliliweka au aliyelifanya hilo anga likawepo?

Kuwa mwelewa pale hakuna kitu kilichowekwa bali ni muunganiko wa chembe chembe ambazo kwa mbali ndo zinaonekana za blue, ukifika huko hiyo blue hutaiona
 
Back
Top Bottom