mkuu hata anaemuunganisha mtu whatsapp si IT? kama amewezesha haya mawasiliano inamaana tayari ni IT guy, bila kujali alikaa darasani kusomea au hakukaa.Mmiliki wa jf sio IT guy! Ni civil engineer by professional!
Kweli mkuu unapata PC ukiingia first year tena ela ya boom at 20' ageMimi nazan ni mfumo wa elimu. Mtu anasoma darasa la kwanza mpaka advance haifaham hata computer. Hapo akifaulu anachagua IT, anaenda chuo na kusoma miaka 3 then anagraduate na kurudi mtaani. Wenzetu wamekeza hayo mambo kweny elimu, mtoto anakua akijua hzo mambo ndio maana utaskika kijana wa miaka 14 afanya hiki, huku bongo kijana wa miaka 14 anajifunza kusoma, kukalili na kuandika,
Utazisaka wakati kuitafuta tu lazima utumie hela...IT wengi wa kibongo hawajishughulishi kusaka pesa
Ndio... Yaani taabu tupuKwa Tz mambo mengi hayaendi kwa kasi au mwelekeo wa kidunia. Wanataaluma wa IT, madaktari na hata wakunga(manesi), wanasheria, wahandisi n.k, kwenye ulimwengu wa kwanza(nchi za viwanda, zilizoendelea), huwa na hali nzuri sana kifedha, na taaluma zao zimeendelea kwa vifaa na ujuzi wa kisasa wa kiteknolojia. Huku kwetu ni kama tumegeuka na kuurudia ujima. Kila kitu kinazidi kuwa na hali mbaya.
Unawaza kinyume nyume sasa mkuu.. Kubet kwenyewe hela .... Unaitafuta alafu unaipoteza kwa bahati nasibu... Think twiceMa IT wengi wa Bongo ni vilaza. Wangekuwa smart, wangeweza kuutumia ujuzi wao kupanga mikeka ya ku BET na wangeshatoka kimaisha...
Utazisaka wakati kuitafuta tu lazima utumie hela...
ww naye unasubiri ukisomea IT uajiriwe na siyo kujiajiri ohooo my people of god umepotea.Jiajiri maana fani inakubali![]()
ww naye unasubiri ukisomea IT uajiriwe na siyo kujiajiri ohooo my people of god umepotea.
Yap inaruhusu msingi ujisimamie katika kufikia malengoJiajiri maana fani inakubali

From Dar es salaam institute of Technology DITMmiliki wa jf sio IT guy! Ni civil engineer by professional!