Kwa haraka nimeona shida mbili za fasta kwa IT's wetu.
Kwanza wengi hawapendi code. Ingawa nahisi IT sio code peke ake but naona code ni kama lugha muhimu. So kama mtu hapendi code means automatic hataweza kuexpress idea yake fast katika computer
Pili ubunifu ni mdogo na hata ukitoa idea unaonekana chai.
Kwa IT's mliomo humu ndani naomba niwape task ambazo zinaweza kuwa good business ideas mbeleni. Mkifanya research naombeni mrejesho.
1: jaribu kufikiri kuhusu kuunganisha maduka au biashara zozote kwa magroup kupitia website na smartphone app. Hapo unatengeneza website yenye kuonesha maduka na bidhaa zilizopo au coffee shops zilizopo kwa mfano unaweza kuichambua kariakoo na maduka yake na coffee shops zilizopo mjini na hata hotels au logdes kubwa pia. Unaweza kucharge kidogo kidogo kwa matangazo kwa mwezi but as time goes unaongeza charge. Ifike mahali ukiwa dar au mkoa wowote unaangalia ktk app yako sehemu ya kula, kunywa, kulala na kufanya shopping.
Hii idea nilikuwa nayo mwaka 2008 nilipokuwa A level ilianza kwa kutaka kuanzisha blogu itakayokuwa inaunganisha past papers za shule zote Tanzania. But sikusoma computer so nilipiga chini but bahati nzuri nikakuta inafanywa na website moja inaitwa karakoo digital hapo posta. But nahisi huyu mtu bado hajafanikiwa sana ktk hiyo idea... kama kafanikiwa mnijuze.
2: nilikuwa nafikiri kuhusu business cards. Kuna muda nilikuwa natafuta kazi nikawa na mzigo wa business cards ktk wallet. Nikafikiri how IT guys wanaweza kutransform na kutengeneza app itayoweza kutunza hizi cards. Hiyo sikufiria sana but nilitoa idea kwa IT mmoja akasema hiyo inatatuliwa na linkedin. I dont think so. Na nyie mnaweza kufikiri zaidi kuhusu hiyo idea.
Kwa leo ni hizo tu. Idea nyingine kubwa sana kuhusu umeme bado ninayo kapuni hiyo nitaifanya mwenyewe na kuwapa mrejesho ingawa sijasoma electrical engineering.
So jaribuni research ya hizo idea kwanza wakuu then tupeane mrejesho. May be ni idea za kijinga but i think zina matter.