Kwanini Ma IT bongo sio matajiri?

Kwanini Ma IT bongo sio matajiri?

Kwa haraka nimeona shida mbili za fasta kwa IT's wetu.
Kwanza wengi hawapendi code. Ingawa nahisi IT sio code peke ake but naona code ni kama lugha muhimu. So kama mtu hapendi code means automatic hataweza kuexpress idea yake fast katika computer
Pili ubunifu ni mdogo na hata ukitoa idea unaonekana chai.

Kwa IT's mliomo humu ndani naomba niwape task ambazo zinaweza kuwa good business ideas mbeleni. Mkifanya research naombeni mrejesho.

1: jaribu kufikiri kuhusu kuunganisha maduka au biashara zozote kwa magroup kupitia website na smartphone app. Hapo unatengeneza website yenye kuonesha maduka na bidhaa zilizopo au coffee shops zilizopo kwa mfano unaweza kuichambua kariakoo na maduka yake na coffee shops zilizopo mjini na hata hotels au logdes kubwa pia. Unaweza kucharge kidogo kidogo kwa matangazo kwa mwezi but as time goes unaongeza charge. Ifike mahali ukiwa dar au mkoa wowote unaangalia ktk app yako sehemu ya kula, kunywa, kulala na kufanya shopping.
Hii idea nilikuwa nayo mwaka 2008 nilipokuwa A level ilianza kwa kutaka kuanzisha blogu itakayokuwa inaunganisha past papers za shule zote Tanzania. But sikusoma computer so nilipiga chini but bahati nzuri nikakuta inafanywa na website moja inaitwa karakoo digital hapo posta. But nahisi huyu mtu bado hajafanikiwa sana ktk hiyo idea... kama kafanikiwa mnijuze.

2: nilikuwa nafikiri kuhusu business cards. Kuna muda nilikuwa natafuta kazi nikawa na mzigo wa business cards ktk wallet. Nikafikiri how IT guys wanaweza kutransform na kutengeneza app itayoweza kutunza hizi cards. Hiyo sikufiria sana but nilitoa idea kwa IT mmoja akasema hiyo inatatuliwa na linkedin. I dont think so. Na nyie mnaweza kufikiri zaidi kuhusu hiyo idea.

Kwa leo ni hizo tu. Idea nyingine kubwa sana kuhusu umeme bado ninayo kapuni hiyo nitaifanya mwenyewe na kuwapa mrejesho ingawa sijasoma electrical engineering.
So jaribuni research ya hizo idea kwanza wakuu then tupeane mrejesho. May be ni idea za kijinga but i think zina matter.

Hiyo idea no. 1 zipo mingi tu bongo people tried to do and wamejitahid kuja na platform nzuri. Wengine wamekosa tu marketing strategy so zinafail kimya kimya but kwa UI na Functionalities zipo zinazofanya vema i believe. Search kwenye stores...

Idea no 2. Not bad, kwa kuongezea hizo info zingekua saved kwenye App mfano wa E-Wallet. Yani mtu akitaka info unamtumia kama unamtumia hela but ni docs.
 
we lack people ambao wamesoma jinsi ya kutatua matatizo or critical challenges in the global contexts.

hata billionaires wengi hawakusaka pesa before walitafuta solution ya matatizo then pesa inakuja automatics.
 
Hivi Ukiandika tu hivi inaeleweka kweli, unajua IT ni ujuzi au ufundi.
Mfano: mtu akuulize ufundi selemala kwanini aulipi Tanzania, alafu ujibu mfumo wa elimu, ukaishia hapo bila maelezo ya ziada, watu watakua na cha kujiuliza juu yako.
Akikujibu uni Tag mkuu
 
Hivi Ukiandika tu hivi inaeleweka kweli, unajua IT ni ujuzi au ufundi.
Mfano: mtu akuulize ufundi selemala kwanini aulipi Tanzania, alafu ujibu mfumo wa elimu, ukaishia hapo bila maelezo ya ziada, watu watakua na cha kujiuliza juu yako.
Haiwezi kueleweka kwa ambaye hawezi kufikiri ipasavyo.

Mfumo wetu wa Elimu umejikita kwenye kukariri na kufaulu mitihani badala ya kujikita kwenye maarifa na ujuzi ambapo mtu anaweza kutumia huo ujuzi na maarifa kuleta mabadiliko katika jambo husika kulingana na taaluma yake

Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA kaelezea kuhusu hili vizuri
 
sijui haya matatizo ya sasa yakuwaza pumba tuliyaanzia wapi.....nyuzi za mada zakipumbavu comment 2000+.....huku sasa hata page moja hatumalizi
Nilipenda sana michango ya hawa wadau,
Stefano Mtangoo na Graph hawa jamaa walini gusa sana.


Ila Chief-Mkwawa reply yako kwa jamaa flani, kwenye huu uzi imeniacha kwenye maswali mengi, ifute aiseh😀

mkuu hata anaemuunganisha mtu whatsapp si IT? kama amewezesha haya mawasiliano inamaana tayari ni IT guy, bila kujali alikaa darasani kusomea au hakukaa.

Ila kweli ni IT guy ila sio IT professional
 
Haiwezi kueleweka kwa ambaye hawezi kufikiri ipasavyo.

Mfumo wetu wa Elimu umejikita kwenye kukariri na kufaulu mitihani badala ya kujikita kwenye maarifa na ujuzi ambapo mtu anaweza kutumia huo ujuzi na maarifa kuleta mabadiliko katika jambo husika kulingana na taaluma yake

Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA kaelezea kuhusu hili vizuri
Achana na mambo ya siasa, ingawa mpo kwenye mpo kwenye kampeni.
Hili tatizo sioni kama ni la Tanzania peke yake, bali ni Afrika mzima. Nchi zote Afrika mfumo wa Elimu ni uleule.

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
 
Lack of creativity! Nilikuwa na idea moja ambayo ningekuwa Proffessional developer ningekuwa mbali sana. Nikajaribu kumshirikisha jamaa mmoja anaitwa matthew humu lakini kumbe nae ni tapeli. Bora nife nayo idea yangu

kumbe mathsjery ni tapeli?
 
Back
Top Bottom