kwani mmiliki wa jf sio tajiri? wapo ma IT matajiri pia Tanzania, kama vile ambavyo kuna Ma IT masikini huko Duniani ambao wanaishia tu kuwa wauzaji/wazungumzaji kwenye show room.
Ma IT sio matajiri karibu dunia nzima, kuna wachache tu hasa silicon valley wamekuwa matajiri na tena hao kuwaita ma IT ni kosa, kilichowapa utajiri ni biashara/entrepreneurship.
Mimi nazan ni mfumo wa elimu. Mtu anasoma darasa la kwanza mpaka advance haifaham hata computer. Hapo akifaulu anachagua IT, anaenda chuo na kusoma miaka 3 then anagraduate na kurudi mtaani. Wenzetu wamekeza hayo mambo kweny elimu, mtoto anakua akijua hzo mambo ndio maana utaskika kijana wa miaka 14 afanya hiki, huku bongo kijana wa miaka 14 anajifunza kusoma, kukalili na kuandika,
Not so easy.
Urasimu umejaa Tanzania.ao
Costech wenyewe ni wapiga dealz akuna kitu pale! Wanaa cha wagunduzi wa kweli wanapiga hela na makanjanja!
Pia serikali na idara usika azipo kusaidia hilo! South Africa walivyoanzisha Black empower ment ilikuwa kwenye tender ukiwa black tayari ni marks 20! Na serikali ilikuwa analisimamia hilo.
wapi ambako ni matajiri
Kweli mfano king kapita hana lolote mjini
ngoja Mimi nichangamkie fursa ya kuunda "kiwanda cha ma-IT",halafu nitamuomba waziri mwenye dhamana ya masula ya viwanda na biashara aje afanye ufunguzi,bila shaka atakuwa Charles Mwijage.
hakuna namna,lazima tuongeze idadi ya viwanda.
They ain't creative to that extent
Nazani Tatizo lipo katika mfumo mzima wa Elimu, Mwanafunzi Anaifahamu Laptop Akifika Chuo, Unategemea nini??
Wakati ni vitu Ambavyo ilitakiwa Mwanafunzi ajue Toka Akiwa Shule ya msingi.
wengi wao ni waoga, wanaogopa shortcuts , wanaogopa kutoa solution tofauti na walivyo fundishwa, ni wavivu wa kufikiri na hii ni kutokana na mazingira magumu yaliyowakuta kipindi wakiwa masomoni, wengi wao reseach zao ni za kukopi, kingine kikubwa ni katika au sheria zina wabana wazivuke mipaka wakiogopa kupelekwa ostabey, wengine wanadanganywa na vi overtime na vijipesa na vi access na mabosi wao huku wataalamu wakiendelea kuvuta mpunga...
kwa kumalizia , wana ma kumpyuta wajifunze kuwa na lugha inayoeleweka kwa wateja, wawe ni watatuzi wa matatizo ya jamii kwa kutumia computer bila kujigamba...nk
Lack of creativity! Nilikuwa na idea moja ambayo ningekuwa Proffessional developer ningekuwa mbali sana. Nikajaribu kumshirikisha jamaa mmoja anaitwa matthew humu lakini kumbe nae ni tapeli. Bora nife nayo idea yangu