Mabweni yaliyokithiri kwa bangi Ilboru yalikuwa Meru na Oldonyo. Ilikuwa ukipangiwa kuishi ktk mabweni haya ni sawa na jehanam.
Waona mbali sana eenh...🙂
Mama yangu! Nashukuru bado nilikuwa ni mdogo kipindi hicho labda na miye yangenikuta
Exactly mkuu ila nadhani Oldonyo ilikithiri zaidi, kuna wakati zile cubics za mwishoni kabisa (kama unakumbuka Oldonyo haina partitions kama Meru, Mawenzi, Kibo au Hanang) watemi walizigeuza zikawa kama gym vile.
Huko ni mwendo wa kuwasha bangi na kupiga chuma (makopo ya zege).
Shivji alisema kisheria Mongela alipotoka kusema anaizika PUNCH kama hakuwa anajua kuanzishwa kwake. Kwa maana nyingine alitaka Getruda aeleze alivyoifahamu PUNCH kiasi cha kutangaza kifo chake.
PUNCH lilikuwa dude zaidi ya tunavyoiongolea sasa. Lugha iliyotumika ilionesha moja kwa moja kuwa ni jopo la wanataaluma wa fani tofauti waliounda chombo hicho. Fedha zilizotumika kutoa toleo moja, zilikuwa ni nyingi mno. Mtu alichunguzwa tangia kunyonya mpaka chuo kikuu.
Ingawa kina dada waliathirika zaidi PUCHJ ilimgusa kila mtu kuanzia viongozi wa nchi, waadhiri, wanafunzi wa kike na wa kiume, n.k. I could say it had prons and cons. Mavazi kama kata K, vitop, kuvaa kapelo cafeteria, mapenzi ya hadharani, havikuwepo enzi za PUNCH. Kiasi Fulani ilisaidia kutunza nidhamu, mbali na madhara yake.
RIP Levina.
I see . . .
Bado tuna safari ndefu sana ya kuondoa unyanyasaji wa kijinsia, tena huu wa kisaikolojia ndio mbaya sana. Kuna wanamme kazi yao ni kuwa 'degrade' wanawake, hasa wanaona wana 'strength' fulani zaidi yao.
Anyway, tukipewa fursa sawa kwa wote kuelimika itasaidia.
Can you imagine i grew up believing mwanamke kubakwa kajitakia mwenyewe na wala si kosa? Kuepusha migongano na kumpa favor mwanamke uliyembaka ni 'KUMUOA'
mkuu bweni gani hilo lilikuwa la wavuta bangi? rungwe nini?
Mabweni yaliyokithiri kwa bangi Ilboru yalikuwa Meru na Oldonyo. Ilikuwa ukipangiwa kuishi ktk mabweni haya ni sawa na jehanam.
hebu nieleze taratibu walikuwa wanafanyeje eti?
Shivji alisema kisheria Mongela alipotoka kusema anaizika PUNCH kama hakuwa anajua kuanzishwa kwake. Kwa maana nyingine alitaka Getruda aeleze alivyoifahamu PUNCH kiasi cha kutangaza kifo chake.
PUNCH lilikuwa dude zaidi ya tunavyoiongolea sasa. Lugha iliyotumika ilionesha moja kwa moja kuwa ni jopo la wanataaluma wa fani tofauti waliounda chombo hicho. Fedha zilizotumika kutoa toleo moja, zilikuwa ni nyingi mno. Mtu alichunguzwa tangia kunyonya mpaka chuo kikuu.
Ingawa kina dada waliathirika zaidi PUCHJ ilimgusa kila mtu kuanzia viongozi wa nchi, waadhiri, wanafunzi wa kike na wa kiume, n.k. I could say it had prons and cons. Mavazi kama kata K, vitop, kuvaa kapelo cafeteria, mapenzi ya hadharani, havikuwepo enzi za PUNCH. Kiasi Fulani ilisaidia kutunza nidhamu, mbali na madhara yake.
RIP Levina.
Prof . shivji huyu huyu ninayemheshimu aliongea kauli dhaifu kama hiyo? Au alikuwa anamaanisha nini kuhusu saga hiyo labda sikuelewa??!!
kwani wewe ni wa mwaka gani jamaniWaliwa-Punch viongozi wengi sana wakati ule. Viongozi wa juu jabisa kutukanwa walikuwa ni Marehemu Balozi/Waziri Hassan Diria (Mzee wa Muche au Mustachi) ambaye walimchora kama Mwanamke na wakaandika HASSA SINDIRIA na akiwa kapiga nzinga wa Sindiria.
Rais Ali Hassab Mwinyi yeye walimchora na kumtukana matusi mazito kabisa ya nguoni na hadi mwenyewe kama Binadamu, alilalamika sana kwa kitendo hicho.
Pichani, Mar. Hassan Diria akiwa Waziri wa mambo ya nje akiwa na Marehemu MJ, uwanja wa ndege Dar es salaam.
![]()