Usisahau wengine hawajui asili ya daladala,chai maharage, hata matriculation tuliyofanya udsm wanaisikia tu,wananifanya sometimes nakosa nyuzi za kisoma wanaandika chips mayai tu.
Nakumbuka nilisoma shule moja ina genge la wahuni, bweni lao hata walimu wahaingii, hawa wahuni hawaogi, chakula wanabebea ndoo, na bangi ni kama chai, hawa wana harassments za ajabu. Wkt ule ukiangalia mikoa ya kaskazini walikuwa hivyo, kusini, nyanda za juu, kila shule ilikuwa na tabia hizi. Tambaza kilichonishinda ni genge la wahuni wale.
Watoto wengi wa 2000 hawajui haya madude. Hata Punch walimchora Nani siasa za wakati ule hawajui.