Kwanini Levina Mukasa alijiua UDSM?

Kwanini Levina Mukasa alijiua UDSM?

Arusha Tech. miaka ya themanini mwishoni kulikuwa ba kikundi cha punch kikijiita Passerby(mpita njia).
 
Du pole kwa wazazi waliompoteza binti yao; huenda leo hii angekuwa na nafasi kubwa serikalini na kuisaidia jamii yake na taifa kwa ujumla.

Hivi PUNCH zipo hadi leo? Hizi punch zilikuwa shida sana na mara nyingi nakumbuka zilikuwa zikiwashambulia wanawake ijapokuwa sijui ziilikuwa na malengo gani hasa.
 
Naam ndiyo wasomi wetu hao. Huyo Omari na mwenzake Mark laana kali zikatawale maisha yao milele. Washenzi kabisa, unless wawe wamekwenda kuiomba radhi familia yake marhum Levina ikiwa ni pamoja na kudhuru kaburi lake.

Hiki kisa nilikisoma zamani. Shukrani zimuendee aliyefufua uzi.
Asante sana mie ndie mfufuzi wa Uzi.
 
Du pole kwa wazazi waliompoteza binti yao; huenda leo hii angekuwa na nafasi kubwa serikalini na kuisaidia jamii yake na taifa kwa ujumla.

Hivi PUNCH zipo hadi leo? Hizi punch zilikuwa shida sana na mara nyingi nakumbuka zilikuwa zikiwashambulia wanawake ijapokuwa sijui ziilikuwa na malengo gani hasa.
Hakuna this day hata mambo ya ubabe shule za boarding au beach hayapo this day ilikuwa ni primitive era
 
Kama hali hiyo ilikuwa ikitokea enzi hizo tena ndani ya chuo kikuu basi ni ishara tosha kwamba enzi hizo yalikuwa yanapikwa mabumunda badala ya kupika wasomi.
Na kama enzi hizo hicho kilikuwa kinatokea,basi ni ishara tosha kuwa chuo kilikuwa hakisimamiwi na watu bali....................(malizia mwenyewe)
 
Back
Top Bottom