mkuu wa kijiji
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 966
- 1,056
Vijana wa sasa hivi ndo maana mnasoma kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu hamjawahi kugoma wala kudai haki zenu, Punch ilikuwa inachangamsha chuo mtu unapata hamasa ya kusoma machapisho yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka mwaka tisini Nilikuwa nasoma form four,Mm si kijana kama unavyofikiri.Huwezi kuunda vikundi visivyo na maslahi ya kitaifa na venye mrengo wa kuwanyanyasa wasichana kiachwe la hasha