Kwanini Levina Mukasa alijiua UDSM?

Kwanini Levina Mukasa alijiua UDSM?

Kuna msichana mmoja tulisoma naye hata huko Primary alipofika alikuwa hana hiyana na wanaume, akapanchiwa kama "Hailali" wala hakubadilika alikuwa anatwanga tu. Baadaye alikuwa ni afisa mwandamizi sana hapo ARISA. Mwingine alilipanchiwa kama "Maasai Warior"- naye wala hakutishika kabisa akaendelea na mambo yake kama kawaida, baadaye akwa Mwanamuziki maarufu kidogo akiwa anajulikana kama Kalala Kinasha. mwingine naye alipanchiwa kama "Kuku wa Kishenzi" tena angali fresher kabisa, naye ile jeuri ya jeshi haikumtisha, baadaye aliendelea hadi kupata Masters. Kwa hiyo nakubalina nawe kuwa kutokwenda JKT kulichangia kutokuwa na uvimilivu dhidi ya matusi.
Kichuguu umejiunga siku nyingi aisee 2006, mimi kipindi hicho nlikuwa naingia ila sikujiunga, si unajua mahakamani na watumishi wa serikali tulikuwa tunafuatiliwa sana ila baada ya kujua hawawezi kunipata ndiyo nikafungua akaunti, thanks alot maxime mello
 
Ha ua
Siyo kweli mzee, mbona mimi nilitumia sana lakini baadaye nikaacha.
[/QUOTHa ha ha ha ha ndiomana nikakwambia inategemea na uwezo wa ubongo wako,ila wengi wao hawaachi maana yangu katika vijana kumi wanaofanikiwa kuacha bangi ni wawili tu,so inawezekana wewe ni miongoni mwa vijana wachache wanaofanikiwa kuacha kabisa,hongera sana kwa hilo.
 
Story za kutunga utazijua tu. Maelezo mengi kama uharo wa bata.
 
Back
Top Bottom