Kwanini Levina Mukasa alijiua UDSM?

Kwanini Levina Mukasa alijiua UDSM?

Na kuna shule zilikuwa zinasikika kuwa mwanafunzi wa kike akifika anakuwa ameshachaguliwa na mwanamme, hakuna kusema hapana maana mateso yake hayavumiliki, mojawapo ilikuwa Mkwawa High School
Inasikitisha sana... Mkwawa sitamsahau kaka alikua anaitwa Matunda alikua mbabe hatari.
 
2kimo, Mkuu ukinisoma vizuri kuhusu macho women na ma feminists utanielewa.
Hawa machowomen wanapendwa kubakwa na kufanyiwa some sort of violence ndipo wana derive pleasures sasa kwa vile sio wanaume wengi wanajua hili tatizo la masochism wahusika wakiitwa masochistic na tabia yenyewe ni masochist, wengi hawapati watu wa kuwa satisfy, matokeo yake wanakuwa na unsatiable sexual apetite, hata umpe kila kitu na kuntosheleza kwa kila hali bado lazima atagawa tuu.

Usichanganye mambo ya inhibitions, taboos na masochism.

Yale mambo niliyaachia kule kule shule japo mjasiri haachi asili.

Paskali
 
1990 ni siku nyingi sana hii.

Kwa nn lakini watu walikuwa wana roho mbaya namna hii??

Nakumbuka na mm wakati nasoma UDSM kuna bwana mmoja alijinyonga maeneo ya msitu wa hall 7 na yombo katikati. Sijui alipatwa na nn lakini yule bwana aliamua kujitia kitanzi..
 
Hao waliomtesa huyo Dada hatuwezi pata details zao tujue walipo hao nyang'au
 
Ila duniani hakuna MTU anaeweza kumnyanyasa binadamu Ila mnyama anaweza
 
Hivi jamani wale mliosoma na marehemu Levina hamuwezi kabisa kutupa clue ya wahusika kwa majina halisi ili tuwashughulikie hata kwa mitandao!!! Ninaamini nao waakuwa waliona na mabinti wamezaa. Mungu awalaani kuanzia kizazi cha kwanza hadi cha nne.
 
Pascal Mayalla,
Umechanganya tena!
masochism si hulka ya wanawake pekee! kweli sexual gratifications huja baada ya kuwa ktk pain: nimetupia na link ya definition Definition of MASOCHISM shida ni je kubakwa ni miongoni mwa pains ambazo masochistic anatarajia? nadhani kwanza mnakubaliana na kisha ndio anaruhusu kupata pains tena zile za kimahaba, hata akichapwa bakora sio kwa gongo bali fimbo ndogo kwa just minor pains!

Paskali unajua kubwakwa is unbearable to many including hao masochists wako! Usije ukafanya watu wawaumize wapenzi wao! hata masochist wanaandaliwa kwa ajili ya tendo, romantic environment huwepo kwanza, then pain huwa ni sehemu ya mahaba tu lkn sio serious pain ya level ya kubaka!

na sisi tuliooa / kuolewa akili za kaumbiwa changanya na zako; jichunguze kwanza umepungukiwa nini ktk uhusiano inachopelekea mwenzio kuchepuka kuliko ku-invest ktk lawama kwa mwenza wako (hasa lawama baseless kama hizi za macho)!

hongera paskali kwa kuhitimu ulaji wa kijiti (ingawa kama mafunzo yako yalianzia Arusha utakuwa umechemka maana kijiti cha meru kinasifiwa kwa ukali, wewe ukaenda kukifanyia mazoezi)
 
Punch ya sasa ni UVCCM,wanatishia watu kuwa wao ni usalama wa taifa,hofu imejaa kila pahala',vijiweni wanapouza unga na bangi wameweka bendeza za Chama ,Punch-uvCCM wamemuua alfons mawazo na hakuna wa kuwagusa
 
Kashaijabutege,
Mafanikio ya PUNCH yalisababishwa na mazingira na tabia za nyakati zile.
Kipindi hicho watanzania waliweza kusababisha maendeleo au matokeo ya kitu bila kuhitaji any recognition. Hivyo PUNCH ikaingia kama imani kila mwenye jambo akawa anashare kwa style ya PUNCH tena utakuta wengi wao wala hawakuwahi kufahamiana.

Pia nyakati zile watu walithamini sana swala la usiri na viapo. Kulikua na hadithi nyingi zilizopelekea hili kufanikiwa sana, story kama Mafia hawafahamiani, au hautakiwi kujulikana au kujitambulisha. Pamoja na kuwa haya yalikua ni masimulizi tu, lakini yaliweza kui shape jamii hasa.

Kufutika kwa Mzee Punch kulichangiwa na mabadiliko ya nyakati pia kuongezeka kwa Platforms za kutolea maoni platforms hizo ni kama vile kurejeshwa/kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi, kuongezeka kwa magazeti/technolojia ya upashanaji habari, kubadilika kwa mfumo wa maisha (hasa kwa vijana) na vipaombele vya kijamii n.k
 
EMT,

Nashindwa hata kuwaita wasomi watu hawa . Ngoja niwaite watu. Jumuia nzima ya mlimani kipindi hicho ilikua imelala usingizi gani kama hawa Punch vitendo vyao vilikua viki fahamika juu ya Levina na wengine? Hebu ngoja niishie hapa nisije kula ban .
 
Back
Top Bottom