sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
nikiwa field yangu august 2015 mzee mmoja alinisimulia hii hadithi ya LEVINA (RIP)na habari za mzee PUNCH..zinasisimua...mzee yule alisimulia jinsi Punch walivyosababisha wanafunzi wa UDSM wakafukuzwa chuo mwaka mzima kisa punch kumdhalilisha Rais Mwinyi..
Mimi nlipokuwa fild mwaka 2013 nakumbuka mzee mmoja officin alituuliza vijana tuliokuwa pale wangapi wanatokea udsm? Tulipojitaja..
Akanza kushusha stori ile, nayeye alikuwa mwanafunzi kipindi hicho.
ingawa sikumuelewa sana, ila alisimulia kama tukio fulan la historia ya kukumbukwa.
Nimefarijika saana kuiona hii stori na kuielewa vema.