Ni miaka 26 sasa Upate pumziko la milele dada revina mukasa.Miaka 26 sasa baada ya kifo chake, gone but never forgotten! Pumzika kwa amani Dada Levina!
Ni ndugu yake, na prof Masanja alikuwa mama yake mdogo, naikumbuka sana hii story japo then nilikuwa ndio namaliza form 4, lakini nilikuwa jirani na prof pale darajaniNakumbuka alikuwa wenyeji wa Biharamuro Kagera
. Sio ajabu akawa ndugu na aliyekuwa Mgombea ubunge kupitia CCM katika jimbo hilo.
So sad! Sikuwah kufikiria kma hili kundi lilisababisha majanga kma haya by the way mwaka 1990 nlikua hata sijazaliwa na nakumbuka nikiwa mwaka wa pili 2015 mwalimu wangu Mr. Charles Irigo alitudokeza kiasi kuhusu kundi la PUNCH na INSIDERS. So sad kwakweli......RIP LEVINA