Abstain lakini watch your age. Kuna umri ukifika wanaotamani kukutongoza watapungua (achilia mbali kukuoa!).I know that
Habari wana jf! Me am so exhausted na hizi mambo.. When i was a little gal i used to think that one day ntakuwa na boyfriend nicly one ambae hatuta make love mpaka anioe.. Kumbe i was wrong now am 22 kila anae nitongoza hutaka Ngono first mmh.. Honestl hiyo condition siiwezi What i decided niwe single as usually.. Nimegundua mwanaume without thos bra bra no relation its fun
Kuna mmoja kama ww nae kaitunza sana...hadi anafika 27 hajaguswa...juzi kaja getto anahamu ya kunyonywa chu*. Heee baada ya hapo naona binti analegea kiulaiiiini......!
Mlango giblatar ukafunguliwa kwa ustad mkubwa....aliposhtuka tayar limeshakuwa shimo..!
Hongera kama umejiweka pembeni,ila now days hiyo haikwepeki hata ukiingia kwenye serious relation utatoa tu maana hakuna anayependa kuuziwa mbuzi kwenye gunia
gud gal....stay single nd dont give any man ur cookie before marriage...trust me nothing gud has ever come out of premarital sex. na hiyo mambo ya kusema eti hamna kuuziwa mbuzi kwenye gunia ni the inane way of justifying the evil ways.
it is a virtue being a virteous lady...keep it up!!
!
!
hahahahahaha.....umenichekesha mno hahahaha.
unafikiri mkubwa!ohoooo unaweza ukakuta kumbe hata kwenye majivu akikojoa hachimbi teh teh teh[/QUOTE]
kaaaaaaa,hehehehehee,ina maana itakua imechoka sana
Mpendwa wewe ndio bos wa mwili wako so maamuzi uliyoyachukua ni mazuri na usikubali mtu akakurubuni, si sifa kuvua vua nguo hovyo bali ni heshima kwako kujitunza.
una maanisha nini hapo kwenye blueUnataka kulala na m'mke kabla ya ndoa ili upime nini? Utapima wangapi?
Hivi umeshajiuliza kwamba wanawake nao hawapendi kuuziwa huyo "mbuzi kwenye gunia"?
Wacha weee....kumbe ee!
Tatizo huwaga mnajisifu kwamba "my naniliu is so wet and tight" kumbe bwawa la mtera ha ha ha ha
Habari wana jf! Me am so exhausted na hizi mambo.. When i was a little gal i used to think that one day ntakuwa na boyfriend nicly one ambae hatuta make love mpaka anioe.. Kumbe i was wrong now am 22 kila anae nitongoza hutaka Ngono first mmh.. Honestl hiyo condition siiwezi What i decided niwe single as usually.. Nimegundua mwanaume without thos bra bra no relation its fun
kuna kamsemo vijana wa siku hizi wanapenda kukatumia"shake well before use"sasa cjui kama utachomoka kwenye hako kamsemo.
!
!
kumbe tuko wengi tunaofatilia hii story...... cc. tofali tafadhali mama kata kiu hii
Habari wana jf! Me am so exhausted na hizi mambo.. When i was a little gal i used to think that one day ntakuwa na boyfriend nicly one ambae hatuta make love mpaka anioe.. Kumbe i was wrong now am 22 kila anae nitongoza hutaka Ngono first mmh.. Honestl hiyo condition siiwezi What i decided niwe single as usually.. Nimegundua mwanaume without thos bra bra no relation its fun
Hili nalo neno!!! Kiatu kitakuwa kikubwa kwa muoaji na utasikia hapa JF. "Jamani Msaada wa ushauri-MUME WANGU ANATAKA KUTEMBEA PEKU NA ALIANZA KUTAKA HUO MCHEZO SIKU YA HONEY MOON HAJALI UCHAFU" kumbe jamaa kazoea kiatu na kaona kinampwaya anaona bora atembee peku pekuna je akiwa anavuavua kwa mtu mmoja???
Unataka kulala na m'mke kabla ya ndoa ili upime nini? Utapima wangapi?
Hivi umeshajiuliza kwamba wanawake nao hawapendi kuuziwa huyo "mbuzi kwenye gunia"?
Mbinu zetu wanaume huziwezi dada. anza tu kugawa maana hiyo tutaipata tu.
Wife wangu kipindi cha kuifuatilia alibaaaaaaaaana. Nikabadili mbinu. Nilimpa care za hali ya juu hadi akakolea kisha nikabeep kwa kukata kamba ili nipewe kakitu. akakomaa baada ya miezi sita nikaletewa niiifumue. ila anabahati maana nilimpenda kweli na hadi leo niko nae. Katulia tuli pale JAMBIANI-ZANZIBAR