Miaghay
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 1,535
- 493
Habari wana jf! Me am so exhausted na hizi mambo.. When i was a little gal i used to think that one day ntakuwa na boyfriend nicly one ambae hatuta make love mpaka anioe.. Kumbe i was wrong now am 22 kila anae nitongoza hutaka Ngono first mmh.. Honestl hiyo condition siiwezi What i decided niwe single as usually.. Nimegundua mwanaume without thos bra bra no relation its fun
Huwezi nunua kiatu bila kukijaribu hata siku moja
Kwanini utuhukumu wanaume wote? Mimi mke wangu nilianza nae hio mchezo tangu akiwa form four hadi tunakuja kuuona ilikua kitu kama ten years. kwahio usihitimishe kuwa hutaki kufanya hadi ndoa maana kama ni Wako ni Wako kama sio wako hata mkiingia kwenye ndoa atakuja kukukimbia tu. Take it from me. Baya zaidi waweza jitunza hivyo ukaishia kupata gumegume.....i tell you
we muongopee tu, itaoza na kupoteza radha .....
Usikubali mwaya
Ibane
Manyang'au wanataka kuifumua
Kwamaana umekubuhu!? sasa unamchukuaje mwanamke bila kujua kama anafanyakazi ndo ndoa tunaziona wiki zimevunjika kwakuwa hawakufahamiana mapema!sijui nikwambieje mdogo wangu!!
Wanaume wanakapenda sana hako kamchezo!!! Ila ni katamu ujue.
Bora usijaribu ukae hivyohivyo.
Ukishaingia hutoki na wanaume wa sasa kumpata mmoja mpaka ndoa ni issue na weee hujakomaa kwa heka heka.
Mungu akujaalie ujitunze usikutane na mibazazi mikurumbembe tuliyokutana nayo sisi.
ushauri wako ni mzuri mdada nakushauri uufuate huuKila mwanadamu ana haki ya kuchagua namna ya maisha impendezayo yeye, lakini mtu yule achaguaye njia zimpendezazo Mungu yi na kheri... Binti umechagua njia iliyo njema, endelea kutunza usichana wako kama nafsi yako itamanivyo...
hahahahaaa,mdau unavyoielezea utadhan unafafanua umuhim wa serikali 3,