Kwanini kila Mwanaume hutaka kulala nami before

Kwanini kila Mwanaume hutaka kulala nami before

Endelea na msimamo huo maana hata wanaume tunapenda mwanamke asie maharage ya mbeya. Na huo ndio htakatifu...anaependa ngono kabla ya ndoa huyo sio muoaji na hata akioa bado iman kwa mke wake sio kubwa akisafiri anaamin kwamba mkeo au mmewe atakuwa na mwingine .....kaza buti usijilegeze dada
I like it
 
Mpendwa wewe ndio bos wa mwili wako so maamuzi uliyoyachukua ni mazuri na usikubali mtu akakurubuni, si sifa kuvua vua nguo hovyo bali ni heshima kwako kujitunza.
 
Kama kweli wewe ni muoaji kwa nn uonje kabla ya mdoa?.
Kama unajiamini kwa nn usisubiri?.
Kama kweli unampenda kwa nini umdhalilishe kwa kumfunua utupu wake?
Na kama kweli umedhamilia mwoe tu maana hata Mungu anaaema 1cornth1:9 mwili ni hekalu la roho mtakatifu. Upendo huvumilia na nawasihi wanawake wajiheshim anaetanguliza ngono sio muoaji huyo anatamaa atakuacha tu na hata akikuoa atakusaliti tu. Maana hakuwa na subira
 
Habari wana jf! Me am so exhausted na hizi mambo.. When i was a little gal i used to think that one day ntakuwa na boyfriend nicly one ambae hatuta make love mpaka anioe.. Kumbe i was wrong now am 22 kila anae nitongoza hutaka Ngono first mmh.. Honestl hiyo condition siiwezi What i decided niwe single as usually.. Nimegundua mwanaume without thos bra bra no relation its fun
Wa kukuowa kabla ya kukugegeda hayupo... Hayo yalikuwaga enzi za akina Kinjeketile, Mirambo, Mkwawa, Mangi sina, Songea, Chaburuma, mashujaa wa unyenyembe... Kwa hiki kizazi cha digitali, huo mzigo usipougawa, basi utaozea ndani..... Namna gani vipi labda uishie kwenye vitest tyubu, ndizi, dildoz etc etc japo nazo hazitakuowa, so bora akucharaze atakayekuowa
 
!
!
kuna ile theory ya use and disuse

hata kwenye tangazo la ajira kuna kipengele cha uzoefu,

toa game hata mara moja mbili tatu nne tano sita sana kabla hujaolewa

itaziba,ohooo
 
Ikawaje..??? Au ndo kama kusoma sijui basi nitumie picha...???

Nikiwa mwaka wa 3 chuo uzalendo ukanishinda i was 23...maana kila mtu anahadithia utamu wake nikajiona nakosa mengi na kwa jinsi nilivyokua sista duu hakuna aliyeamini km nilikua virgin..nikajilipuuua...shoga yangu ambaye tulikua tunajipa moyo wote kutunza tunda alivyosikia nimejilipua hakukubali kupitwa nae akajilipua..na jamaa niliyempa ndio nipo naye mpk leo...ndoa soon Ngalikihinja
 
Last edited by a moderator:
Nikiwa mwaka wa 3 chuo uzalendo ukanishinda i was 23...maana kila mtu anahadithia utamu wake nikajiona nakosa mengi na kwa jinsi nilivyokua sista duu hakuna aliyeamini km nilikua virgin..nikajilipuuua

!
!
interesting!
mh ikaendeleaje hiyo muvie?
endelea kidogo angalau the first three trials
 
Nikiwa mwaka wa 3 chuo uzalendo ukanishinda i was 23...maana kila mtu anahadithia utamu wake nikajiona nakosa mengi na kwa jinsi nilivyokua sista duu hakuna aliyeamini km nilikua virgin..nikajilipuuua...shoga yangu ambaye tulikua tunajipa moyo wote kutunza tunda alivyosikia nimejilipua hakukubali kupitwa nae akajilipua Ngalikihinja
hata hivo ulijitahidi sana ,miaka 23!!,wakati huo mchezo wabinti wanaanza wakiwa 15.
 
Last edited by a moderator:
we bana tu! Ukifikisha 35 itarudi humu humu MMU Kutafuta mchumba.
 
hata hivo ulijitahidi sana ,miaka 23!!,wakati huo mchezo wabinti wanaanza wakiwa 15.

Kwakweli nilijitahidi kidogo..nilikua naogopa wanaume..muoga muoga..kufika chuo c tunakua tumekua kiakili nikaanza kujifunza kuwa ni normal tu ht kupiga story na wanaume...nahisi na shule PCB ilichangia kunifanya niwe muoga nikihofia nikianza tuu nitafeli...chuo na ugumu wote wa medical course nikajitosa🙂
 
Habari wana jf! Me am so exhausted na hizi mambo.. When i was a little gal i used to think that one day ntakuwa na boyfriend nicly one ambae hatuta make love mpaka anioe.. Kumbe i was wrong now am 22 kila anae nitongoza hutaka Ngono first mmh.. Honestl hiyo condition siiwezi What i decided niwe single as usually.. Nimegundua mwanaume without thos bra bra no relation its fun
any way ndivyo ilivyo.msingi mzungushe,kaa naye kidogo mazingira fulani ukiona ana speed kubwa muambie akuambie matarajio yake kwako na mpango wake kwako.ukijirahisi fasta hata kama alikuwa na msimamo atakuchukulia ndyo walewale wagawa uroda.unless otherwise burudani hiyo mwisho wa siku huwa haikwepeki
 
Kwakweli nilijitahidi kidogo..nilikua naogopa wanaume..muoga muoga..kufika chuo c tunakua tumekua kiakili nikaanza kujifunza kuwa ni normal tu ht kupiga story na wanaume...nahisi na shule PCB ilichangia kunifanya niwe muoga nikihofia nikianza tuu nitafeli...chuo na ugumu wote wa medical course nikajitosa🙂

!
!
elezea zaidi basi duh....umekatisha utamu
 
We endelea kukatunza tu ipo siku itakuwasha alafu utajikuta unazibuliwa na mtu uliyekuwa unamdharau.
 
any way ndivyo ilivyo.msingi mzungushe,kaa naye kidogo mazingira fulani ukiona ana speed kubwa muambie akuambie matarajio yake kwako na mpango wake kwako.ukijirahisi fasta hata kama alikuwa na msimamo atakuchukulia ndyo walewale wagawa uroda.unless otherwise burudani hiyo mwisho wa siku huwa haikwepeki

!
!
sio yeye ana matarajio gani kwako na yeye huyu demu aweke wazi matarajio yake kwa mshikaji
 
Napoleon 1, we ndo mke, nawatafuta mtu kama wewe wanaojitambua. Lakn usije nitangazia hutaki ku do, kumbe wengne wa pembeni wanajipakulia. Hebu ni PM kama vp
 
Back
Top Bottom