Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Ndio mana tukaitwa wanawake mkuuKweli akili zenu wanawake mnazijua wenyewe...ID fake...maisha fake.....story fake still bado unamwonea wivu na roho mbaya.???hivi utandawazi ndo umefanya siku hizi watoto wa kike hata haiba hamna?mtoto wa kike ana ujasiri wa kuzungumza namna alivyo gegedwa kwenye public Kweliiiii???..Labda mi bado naishi na fikra za kipindi cha Enzi za Mwalim ndo mana nashangaa haya n yaonaga humu

