Kwanini hivi jamani...

Kwanini hivi jamani...

Kweli akili zenu wanawake mnazijua wenyewe...ID fake...maisha fake.....story fake still bado unamwonea wivu na roho mbaya.???hivi utandawazi ndo umefanya siku hizi watoto wa kike hata haiba hamna?mtoto wa kike ana ujasiri wa kuzungumza namna alivyo gegedwa kwenye public Kweliiiii???..Labda mi bado naishi na fikra za kipindi cha Enzi za Mwalim ndo mana nashangaa haya n yaonaga humu
Ndio mana tukaitwa wanawake mkuu
 
Kweli akili zenu wanawake mnazijua wenyewe...ID fake...maisha fake.....story fake still bado unamwonea wivu na roho mbaya.???hivi utandawazi ndo umefanya siku hizi watoto wa kike hata haiba hamna?mtoto wa kike ana ujasiri wa kuzungumza namna alivyo gegedwa kwenye public Kweliiiii???..Labda mi bado naishi na fikra za kipindi cha Enzi za Mwalim ndo mana nashangaa haya ninayo yaonaga humu
yaaani kuna watu hawajitambui kabisa
sio kua wewe unaishi enzi za ujima

hapanaa...wewe umelelewa ukaleleka..

ukawaelewa wazazi wako au walezi wanachotaka uingie nacho mtaani

sent from motorola bapa and nokia jeneza
 
Back
Top Bottom