duuhhh...kazi kweli kweliBahati mbaya siku moja box za pm zifunguke jukwaani kwa kila member...aiseee nadhani watu siku hiyo wapo watakaokunywa sumu kabisa.
Maana kuna watu ukiwaona wala huwadhanii.
Yaani dahhh!!!!
Mtu anakuja Pm anakutumia picha ya uchi live...afu aliyetumiwa nae anaisambaza.
Wifi....acha tu pm iheshimiwe
Uwiii picha za uchi tena, hivi mtu unaanzaje kutuma picha ya uchi jamani hata kama ni ukahaba sio wa dunia hiiBahati mbaya siku moja box za pm zifunguke jukwaani kwa kila member...aiseee nadhani watu siku hiyo wapo watakaokunywa sumu kabisa.
Maana kuna watu ukiwaona wala huwadhanii.
Yaani dahhh!!!!
Mtu anakuja Pm anakutumia picha ya uchi live...afu aliyetumiwa nae anaisambaza.
Wifi....acha tu pm iheshimiwe
Hapo sawa. Nami nakuletea limbwata uniwekee niwe zezeta juu yakome & u damdam
mjengezi (mke wa shemeji)
niroge nkupende zaidii
Ile uliyonitumia kumbe si yako?Uwiii picha za uchi tena, hivi mtu unaanzaje kutuma picha ya uchi jamani hata kama ni ukahaba sio wa dunia hii
Hehehe nimekutumia wewe tu usiniambie umesambaza
Bola umesafisha apo juu kua watu wema wapo.Mi ndio maana nishaonana na mmoja humu tulikula bata la kufa mtu na ni marafiki mpaka sasa,hao wengine onana nao utajutaa,,,
Ushaurii wadada wa huku kuweni makin na mtu unaeenda kuonana nae humu kuna type zote,
Kuna mmoja alitaka niingiza mjini akijua wa kuja,,kumbe mi nishagakuja mjini kitambo lakin nipo kijijini alinisikia tu
Kuna thread flan hvi mods washaifuta..Nani alisema?
Ooooh!! Afadhali, sasa nina amani.![]()
![]()
usijali
huyo haramu kwangu...
we jinafasi tuuu
Ole wako uniudhi...Hehehe nimekutumia wewe tu usiniambie umesambaza
Upo vizuri kwa uchaguzihao niliokutana nao mimi wazurii balaa![]()
![]()
...!!!
Aisee hiyo baada ya kufahamiana au ndo kabla yaaaBahati mbaya siku moja box za pm zifunguke jukwaani kwa kila member...aiseee nadhani watu siku hiyo wapo watakaokunywa sumu kabisa.
Maana kuna watu ukiwaona wala huwadhanii.
Yaani dahhh!!!!
Mtu anakuja Pm anakutumia picha ya uchi live...afu aliyetumiwa nae anaisambaza.
Wifi....acha tu pm iheshimiwe
Usha chelewa wewe ha ha haaaduuu kumbe watuu wanafikia hadi stage ya kukutana na kugegedana kabisa. ....asee ngoja na mimi niende PM za wadda
Sent using Jamii Forums mobile app