Kwanini hivi jamani...

Kwanini hivi jamani...

Bahati mbaya siku moja box za pm zifunguke jukwaani kwa kila member...aiseee nadhani watu siku hiyo wapo watakaokunywa sumu kabisa.
Maana kuna watu ukiwaona wala huwadhanii.
Yaani dahhh!!!!
Mtu anakuja Pm anakutumia picha ya uchi live...afu aliyetumiwa nae anaisambaza.
Wifi....acha tu pm iheshimiwe
duuhhh...kazi kweli kweli

wadada tunatake risky haswaa...
 
Bahati mbaya siku moja box za pm zifunguke jukwaani kwa kila member...aiseee nadhani watu siku hiyo wapo watakaokunywa sumu kabisa.
Maana kuna watu ukiwaona wala huwadhanii.
Yaani dahhh!!!!
Mtu anakuja Pm anakutumia picha ya uchi live...afu aliyetumiwa nae anaisambaza.
Wifi....acha tu pm iheshimiwe
Uwiii picha za uchi tena, hivi mtu unaanzaje kutuma picha ya uchi jamani hata kama ni ukahaba sio wa dunia hii
 
Mi ndio maana nishaonana na mmoja humu tulikula bata la kufa mtu na ni marafiki mpaka sasa,hao wengine onana nao utajutaa,,,
Ushaurii wadada wa huku kuweni makin na mtu unaeenda kuonana nae humu kuna type zote,

Kuna mmoja alitaka niingiza mjini akijua wa kuja,,kumbe mi nishagakuja mjini kitambo lakin nipo kijijini alinisikia tu
Bola umesafisha apo juu kua watu wema wapo.
Wabaya si rahisi kuwakosa ushirikiano uondelee.
Kuna watu wanapata michongo ya maisha humu wengine kuna vitu viliwasumbua sanaaa kuja humu ikawa rahisi kwao kupita watu hao hao
 
Aseeeee!!! Kumbe goma
Bado lnaendelea

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Bahati mbaya siku moja box za pm zifunguke jukwaani kwa kila member...aiseee nadhani watu siku hiyo wapo watakaokunywa sumu kabisa.
Maana kuna watu ukiwaona wala huwadhanii.
Yaani dahhh!!!!
Mtu anakuja Pm anakutumia picha ya uchi live...afu aliyetumiwa nae anaisambaza.
Wifi....acha tu pm iheshimiwe
Aisee hiyo baada ya kufahamiana au ndo kabla yaaa
 
Back
Top Bottom