Kwanini hivi jamani...

Kwanini hivi jamani...

Haya mambo ndio maana huwa napenda kuwa kimyakimya. Unafukuzia kimyakimya, unakamata kimyakimya, unakula kimyakimya na ikitokea hujakamata au kakimbia unabaki kimyakimya. Hizi mbwembwe za njooni muone ni za kifala sana na unaweza kosa vingi mbeleni.
umeona mtaka yote kwa pupa hukosa yoooteee

sent from motorola bapa and nokia jeneza
 
Inakuwaje mtu anakuwa bize kuiangalia K? Badala waangalie sinema wanaangalia K. Kama vipi mbuzi kaiweka juujuu wakaiangalie...

Afu hamna adabu nyie watoto mnanifundisha misuto babu yenu. Ngoja niende Jukwaa la wakubwa nikanoe kipaji changu cha kutongoza
Anakuwa hajafuata raha kafuata umbeya ili aje aumwage jf.
 
Nyeusiii;afu ngozi ngumu kama magamba ya mamba.
Hahahahahaha na makalio yao yasiyopakwa mafuta, tako limepauka kama miguu ya mwendawazimu halafu anajifanya K fyoko fyoko lol

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
Back
Top Bottom