Kwanini hivi jamani...

Kwanini hivi jamani...

Mambo za kutoka na manzi halafu unatangaza eti yule demu nimemla sijui nini ni utoto plus ushamba.... kwani nguo nyote si mlivua, kiu nyote si mlikata sasa why kuonesha kama unamkomoa flani hivi kutangaza au ulimgonga ukiwa umevaa nguo na yeye kavua??? so pathetic
Jana na Leo nimeishusha hadhi jf, lol

Ohh kanitumia pic ya K lol na unajuaje kama ni yake wakati sasa hivi google unapata kila utakacho hahaha

Sunday yangu nimeianza mapemaaa leo

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.



Hawana akili hao.
 
Back
Top Bottom