Kwanini hivi jamani...

Kwanini hivi jamani...

Basi ngoja nijipange mimi nije ila kuanikana tutaanikana pm humu mwiko
Hizo tabia za kitoto sinaga ukinisumbua zaidi nakuignore unakuwa hunioni kabisaaa
Sitaki habari za Kuja kutangaziana k za udhurungi hapa
 
Siungani nalo kwa kweli... halafu wanaume mlipewa
"Adam's Apple" kwa ajili ya kutunza siri na kuhimili mikimiki ya maisha nashangaa wa siku hizi mnaitumia kudakia matonge ya ugali tu, lol

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Naona umetuchana kweli.... ila nikuambie tu nawakaribisha wadada wote wanaovujishiwa siri za viungo vyao mimi nitawasitiri.

Asprin kwa uthibitisho zaidi.
 
Khaaa.....

Ngoja nipande mlimani nikakuombee...

Maana na umri huu hiyo round moja naipata kwa mwezi.... tena baada ya kuangalia jogoo likibaka.
bibi ana vijana lazima
 
Ntaanzia wapi kuwaambia ulivyonikatikia mauno?

Wewe ni mwanamke wa mfano.

Nasikitika umeolewa kabla sijakufahamu... hivi leo ungekuwa mama wa watoto wangu wanne
He he heiyaaa!
Hiyo ya kuolewa huwa nawajibu waleee,wengine nawaambia bikra,wengine nawaambia nna watoto kumi ilimradi tafran mtu ananijia na maswali mengi kama kachero anabakiza kunipima mkojo tu...
U know nafasi yako wewe ipogo tu
 
Back
Top Bottom