Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Watu wanakula kimya kimyaMaana walaji wa k uwa kelele hakuna
Watu wanakula kimya kimyaMaana walaji wa k uwa kelele hakuna
Sitaki atiiHaaa ebu toa bas mi niukop
Ndio hivyo haribu tuharibianeHa haaaaaa kabisaaa
Anataka kubadilishwa jinsia?Behaviorist..!!
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Kila akionacho kwa dada ake anaenda kusimulia maskani na mitandaoni na wajinga wenzake watasapoti.... uwiiiiii itabidi tuokoe haraka hiki kizazi kisipoteee jamani.Sio kusitisha tu mdogo wangu na kutupa wasiwasi miaka inayokuja mbele jinsi tutakavyokosa wanaume wa kutushauri dada zao.
Na shobo hakuna. Ndo uanaume huo sasa maana sifa ya mwanaume ni kuwa msiri na mambo ya ndaniWatu wanakula kimya kimya
Mhindi atakudedisha kwa kichapoSitaki atii
Hahahaha akuuu...Asalaleee!
Wewe babu nishakustukia...una michezzo ya zambi zambi weye![]()
Hao wanaopiga kelele utoto umewajaa mwanaume mwenye akili zake hana hizo mamboNa shobo hakuna. Ndo uanaume huo sasa maana sifa ya mwanaume ni kuwa msiri na mambo ya ndani
Ujinga wa kiwango cha lami kabisa. Uwa sipendi mtu anaejifanya mjuaji na msema ovyo mtandaonHao wanaopiga kelele utoto umewajaa mwanaume mwenye akili zake hana hizo mambo
We unapenda nimtendeje?ask him carefully...
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Hao kiufupi wanaitwa Wavulana, lakini wanaume hatupo hivyoHao wanaopiga kelele utoto umewajaa mwanaume mwenye akili zake hana hizo mambo
Msema kweli mpenzi wa mungu.... Ila vinauma vibuti acha tu!kuna mambo ya kawaida sana kwenye jamii kama kulalana but humu ukimlala mwanamke akikupiga kibuti unamtangaza kwa mabaya
mbona wengine humu tumepigwa vibuti tumevumilia tu
Halaf hana lolote sasa mtu kama huyoUjinga wa kiwango cha lami kabisa. Uwa sipendi mtu anaejifanya mjuaji na msema ovyo mtandaon
Mpo wachache sanaHao kiufupi wanaitwa Wavulana, lakini wanaume hatupo hivyo
G.Don-Master.