Ngoda95
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 2,690
- 4,919
Usitubanie tafwadhali. Utatukosesha rizki zetu.Usithubutu hii jf si salama hata kidogo

Usitubanie tafwadhali. Utatukosesha rizki zetu.Usithubutu hii jf si salama hata kidogo

Kazi Yao kuandika thread tu za ubahiliUmeonaeee.![]()
Kweli kabisa my rafikiUsithubutu hii jf si salama hata kidogo
Waambie waacheWavulana hao uwa sisomi hizo thread
Sasa kwanini unitumie mzigo usio wako.... hiyo ni impersonation ya vikojoleo na tunatakiwa tulaaniMambo za kutoka na manzi halafu unatangaza eti yule demu nimemla sijui nini ni utoto plus ushamba.... kwani nguo nyote si mlivua, kiu nyote si mlikata sasa why kuonesha kama unamkomoa flani hivi kutangaza au ulimgonga ukiwa umevaa nguo na yeye kavua??? so pathetic
Jana na Leo nimeishusha hadhi jf, lol
Ohh kanitumia pic ya K lol na unajuaje kama ni yake wakati sasa hivi google unapata kila utakacho hahaha
Sunday yangu nimeianza mapemaaa leo![]()
![]()
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Ila inategemea umeliwa vp jamani....mtu ukimla mwenzio ukamtapeli sio uungwana kuna watu hawana siri kbs anakuja na kumuadithia mtu mwingine wa humu.
Ukitaka kujua JF watu wana habari zako subiri uanzishiwe zogo.
Raven vipi nawe mhanga wa hili?Raven
Hebu niache best. Mbona hivyo. Khaaa.Umeujua vipi uzuri wa k wakati hujawai kuinanilii rafiki
Anacheka K nyeusi wakati na yy pumbu zake kama lami hahahahaha tunasemaga kopo na mfunikoYote hiyo kuridhisha vijanaume vya jf tena visivyo na siri. Khaaa. Tubaki tu my rafiki. Nijuavyo uzuri wa hiyo k sio rangi bana.![]()
![]()
Wakikua wataacha. Ni suala la muda tuWaambie waache
Hebu nipe siku moja uone kama ntamwambia mtu![]()
![]()
mkishazipa haki yake mkaege kimyaa
masuala ya kuanza kudefine rangi za k hapa si vzrrr
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Impersonation ya vikojoleoSasa kwanini unitumie mzigo usio wako.... hiyo ni impersonation ya vikojoleo na tunatakiwa tulaani
Yako ni nyeusi pia?!....![]()
![]()
mkishazipa haki yake mkaege kimyaa
masuala ya kuanza kudefine rangi za k hapa si vzrrr
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Nimekupenda bure mkuuHaya mambo ndio maana huwa napenda kuwa kimyakimya. Unafukuzia kimyakimya, unakamata kimyakimya, unakula kimyakimya na ikitokea hujakamata au kakimbia unabaki kimyakimya. Hizi mbwembwe za njooni muone ni za kifala sana na unaweza kosa vingi mbeleni.