Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,117
- 122,526
Siku hizi tupo nao sawa ni wachache sana wenye navyo.Siungani nalo kwa kweli... halafu wanaume mlipewa
"Adam's Apple" kwa ajili ya kutunza siri na kuhimili mikimiki ya maisha nashangaa wa siku hizi mnaitumia kudakia matonge ya ugali tu, lol
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.




