Kwanini hivi jamani...

Kwanini hivi jamani...

sio mteremko wanapenda misifa ya kijingaa..tu

huyo anaesema nyeusi ukute yeyee...huo mpweke(dudu)wake kama nuktaa...ila watu wanamhifadhi tuuu

sent from motorola bapa and nokia jeneza
 
Mambo za kutoka na manzi halafu unatangaza eti yule demu nimemla sijui nini ni utoto plus ushamba.... kwani nguo nyote si mlivua, kiu nyote si mlikata sasa why kuonesha kama unamkomoa flani hivi kutangaza au ulimgonga ukiwa umevaa nguo na yeye kavua??? so pathetic
Jana na Leo nimeishusha hadhi jf, lol

Ohh kanitumia pic ya K lol na unajuaje kama ni yake wakati sasa hivi google unapata kila utakacho hahaha

Sunday yangu nimeianza mapemaaa leo

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
Back
Top Bottom