Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,477
Matusi yote kwenye Uzi huu, dhihaka zote na mengineyo yote mnayoyasema hapa nayapokea kwa mkono mmoja na sina uwezo wa kuwahukumu ila namwachia Mwenyezi Mungu Yeye pekee ndiye atajua kama nastahili kufanyiwa haya au mnastahili kupata ' pigo ' lake kwa haya mnayonifanyia.
Najua nini Kinaendelea, Agenda iliyopo na nini dhumuni ya yote haya hadi kila siku tu Watu wanaibuka na ' threads ' tofauti tofauti za kumzungumzia na kumjadili GENTAMYCINE. Na kuna ambao nimeona wanasema kwamba hii ID ni yangu kana kwamba wana uhakika hivyo niwaombe tu Moderator, JamiiForums , Invisible na JF Founder mwenyewe Maxence Melo , Asha D Abinallah wafanye uchunguzi wao wote kwani najua kwa ' Utaalam ' wao wanaweza na endapo watagundua hii ID ni yangu Mimi GENTAMYCINE basi nawaomba wanipe PERMANENT BAN rasmi.
Sijawahi kumkosea Mtu humu na sijajiunga JamiiForums kuja ' Kugombana ' na Mtu ila nasikitika kwa siku za karibuni kumekuwa kama siyo kumeibuka ' Katabia ' ambapo Watu fulani kwa makusudi kabisa wanajipanga kuanzisha ' threads ' za makusudi za Kunichokonoa, Kunichokoza, Kunidhalilisha na Kunitukana kwa sababu ambazo hata sizijui kwani hakuna hata Mtu ambaye ananinunulia Mimi ' Bundle ' za ' Internet ' ambazo zinaniwezesha kuwepo hapa mara kwa mara.
Nashukuru sana kuna Watu kadhaa wanaoniheshimu na kupenda sana uwepo wangu na michango yangu hapa jana wamenitumia sana PM wakinituliza na kunisihi niachane na hawa Watu lakini nashangaa kila kukicha Mtu anaamua tu Kuibuka na ' thread ' ya ' Kumjadili ' GENTAMYCINE utadhani labda nina deni lao au nimekula chao chochote.
Sitaki kumlaumu Mtu ila nadhani hii tabia inavunja sana moyo na kama labda Watu hawaitaki hii ID iwepo humu JamiiForums semeni tu ili niwaachieni Jamvi lenu kwa amani kwani mnaanza sasa kusababisha nihisi mengineyo juu ya uwepo wangu humu.
Leo sitomtolea Mtu yoyote neno baya au la shombo kama ambavyo imezoeleka na badala yake nitanyamaza tu ila narudia tena kusisitiza kama tatizo ni uwepo wa hii ID hapa JF semeni tu ili niwaachieni Jamvi lenu labda muweze Kupumzika na niangalie ustaarabu wangu. Na hii si mara ya Kwanza tabia hii kujitokeza Kwangu na kuna Watu ambao wanaanzisha kwa makusudi ID's zao kwa minajili tu ya kunishambulia huku wapo ambao wananichokoza na kunidhihaki kwa ID's zao mpya kisha nikiwajibu hovyo hao hao utawaona wanakimbilia wa Moderators kutaka nipigwe BAN.
Yawezekena Shani / Talanta yangu ya Kipekee kabisa iliyobarikiwa na ' natural charm ' yangu kutoka Kwake Mwenyezi Mungu ndiyo inawatesa, inawaumiza na kuwaudhi wengi. Kama hii ndiyo sababu basi kuliko Kunilaumu Mimi pelekeni lawama zenu kwa Muumba wangu ambaye amenifanya niwe tofauti hivi na nyie wote ambao ' mnanichukia ' humu.
Nimemaliza rasmi na sidhani kama nitakuja kuchangia tena chochote katika Uzi huu baada ya mchango wangu huu ila niwaombe tu wale ambao mmeanza Kunitukana, Kunidhalilisha, Kunichokoza na Kunisingizia mambo kadha wa kadha msichoke kufanya hivyo ila nayakabidhi yote haya Kwake Mwenyezi Mungu ambaye naamini ndiye anajua ukweli wangu na dhihaka zenu Kwangu.
Akhsanteni.
Ni yeye mwenyewe huyo kaja na id nyingine. He is very sick in his headBila kumuongelea Genta siku haziendi
Mtoto wa kiume unamuogopa mwanaume mwenzio kisa vichambo... Uko sawa kweli kijana??
Hana lolote huyo.. mnamuogopea bure tu.. mngekuwa mnamsoma tangu enzi anajidai yeye ni fulani mara fulani hadi kuishia kujiweka kama mbabe mngejua ni hana lolote bali vijineno na alikuwa muongooo sana anajiweka ana maisha fulani siku ingine anaandika mengine.. eeeeeh
Burudani kusoma ya JF
Hahahaha
Na ma id kibao ya kujisifia mwenyewe walahi
Mtu mzima ovyooooooo walahi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahahahahahah..Mkuu wapi ulimkuta GENTAMYCINE anasurubishwa mpaka anatingisha matako??
G hajambo mamyπ
Yaani umekuja na id nyingine kujisifia! Hovyo sama wee jamaa.GENTAMYCINE
Huyu jamaa huwa anaserereka na kutiririka vidonge/vichambo vilivyo tukuka kwa ufundi na ustadi wa hali ya juu kama βMOSSADβ hali inayofanya kuwa salama dhidi ya ban!!
Haya na nyinyi mserereke na kutiririka kwa nini humjawahi mchokoza??
Nyote mazuzuGENTAMYCINE
Huyu jamaa huwa anaserereka na kutiririka vidonge/vichambo vilivyo tukuka kwa ufundi na ustadi wa hali ya juu kama βMOSSADβ hali inayofanya kuwa salama dhidi ya ban!!
Haya na nyinyi mserereke na kutiririka kwa nini humjawahi mchokoza??
Yule jamaa wa ku fupisha gazeti namwomba aje hapaMatusi yote kwenye Uzi huu, dhihaka zote na mengineyo yote mnayoyasema hapa nayapokea kwa mkono mmoja na sina uwezo wa kuwahukumu ila namwachia Mwenyezi Mungu Yeye pekee ndiye atajua kama nastahili kufanyiwa haya au mnastahili kupata ' pigo ' lake kwa haya mnayonifanyia.
Najua nini Kinaendelea, Agenda iliyopo na nini dhumuni ya yote haya hadi kila siku tu Watu wanaibuka na ' threads ' tofauti tofauti za kumzungumzia na kumjadili GENTAMYCINE. Na kuna ambao nimeona wanasema kwamba hii ID ni yangu kana kwamba wana uhakika hivyo niwaombe tu Moderator, JamiiForums , Invisible na JF Founder mwenyewe Maxence Melo , Asha D Abinallah wafanye uchunguzi wao wote kwani najua kwa ' Utaalam ' wao wanaweza na endapo watagundua hii ID ni yangu Mimi GENTAMYCINE basi nawaomba wanipe PERMANENT BAN rasmi.
Sijawahi kumkosea Mtu humu na sijajiunga JamiiForums kuja ' Kugombana ' na Mtu ila nasikitika kwa siku za karibuni kumekuwa kama siyo kumeibuka ' Katabia ' ambapo Watu fulani kwa makusudi kabisa wanajipanga kuanzisha ' threads ' za makusudi za Kunichokonoa, Kunichokoza, Kunidhalilisha na Kunitukana kwa sababu ambazo hata sizijui kwani hakuna hata Mtu ambaye ananinunulia Mimi ' Bundle ' za ' Internet ' ambazo zinaniwezesha kuwepo hapa mara kwa mara.
Nashukuru sana kuna Watu kadhaa wanaoniheshimu na kupenda sana uwepo wangu na michango yangu hapa jana wamenitumia sana PM wakinituliza na kunisihi niachane na hawa Watu lakini nashangaa kila kukicha Mtu anaamua tu Kuibuka na ' thread ' ya ' Kumjadili ' GENTAMYCINE utadhani labda nina deni lao au nimekula chao chochote.
Sitaki kumlaumu Mtu ila nadhani hii tabia inavunja sana moyo na kama labda Watu hawaitaki hii ID iwepo humu JamiiForums semeni tu ili niwaachieni Jamvi lenu kwa amani kwani mnaanza sasa kusababisha nihisi mengineyo juu ya uwepo wangu humu.
Leo sitomtolea Mtu yoyote neno baya au la shombo kama ambavyo imezoeleka na badala yake nitanyamaza tu ila narudia tena kusisitiza kama tatizo ni uwepo wa hii ID hapa JF semeni tu ili niwaachieni Jamvi lenu labda muweze Kupumzika na niangalie ustaarabu wangu. Na hii si mara ya Kwanza tabia hii kujitokeza Kwangu na kuna Watu ambao wanaanzisha kwa makusudi ID's zao kwa minajili tu ya kunishambulia huku wapo ambao wananichokoza na kunidhihaki kwa ID's zao mpya kisha nikiwajibu hovyo hao hao utawaona wanakimbilia wa Moderators kutaka nipigwe BAN.
Yawezekena Shani / Talanta yangu ya Kipekee kabisa iliyobarikiwa na ' natural charm ' yangu kutoka Kwake Mwenyezi Mungu ndiyo inawatesa, inawaumiza na kuwaudhi wengi. Kama hii ndiyo sababu basi kuliko Kunilaumu Mimi pelekeni lawama zenu kwa Muumba wangu ambaye amenifanya niwe tofauti hivi na nyie wote ambao ' mnanichukia ' humu.
Nimemaliza rasmi na sidhani kama nitakuja kuchangia tena chochote katika Uzi huu baada ya mchango wangu huu ila niwaombe tu wale ambao mmeanza Kunitukana, Kunidhalilisha, Kunichokoza na Kunisingizia mambo kadha wa kadha msichoke kufanya hivyo ila nayakabidhi yote haya Kwake Mwenyezi Mungu ambaye naamini ndiye anajua ukweli wangu na dhihaka zenu Kwangu.
Akhsanteni.
Ananyukwa paipu
Bila kumuongelea Genta siku haziendi
Mimi bibafsi namkubali jamaa na kumuweka kwenye kundi la GT, matusi anayo kama tu wew pia ukija kihivyo. Mimi nimeshamkosoa sana tu kwenye nyuzi zake au michango yake lakini huwa ananijibu kistaraabu kwa kuwa pia ukosoaji wangu huwa wa kistaarabu. Jamaa yuko vizuri hata kama humpendi.
Over
Ahahaaaaaa....! Humo humooooooBasi wewe ni mweupe sana kichwani ndo maana kila anchoongea ni kipya kwako halaf vingi tu anaongeaga mashudu..hujawahi kukuta anasulubiwa mpaka anatingisha tingisha matako huko?
Ahahaaaa...! Kabisa mkuu. Sijui kwa nini simkubali huyu?Nimekupa like lakini wew sikukubali kabisa