Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,672
- 13,067
Mimi bibafsi namkubali jamaa na kumuweka kwenye kundi la GT, matusi anayo kama tu wew pia ukija kihivyo. Mimi nimeshamkosoa sana tu kwenye nyuzi zake au michango yake lakini huwa ananijibu kistaraabu kwa kuwa pia ukosoaji wangu huwa wa kistaarabu. Jamaa yuko vizuri hata kama humpendi.
Over
Over