Kwanini CHADEMA miaka yote wameweza kuwa na safu nzuri ya wataalamu kwenye hoja kuliko Serikali? Wanapataje wataalam wao?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
876
4,101
Ukisoma analysis za miaka yote za CHADEMA zina element ya consistence kwenye neutrality za hoja. Most of time wameweza sana kutokutoa advice,comment au maazimio ya kichama yanayokinzana na wananchi waliowengi. Wana toka na maazimio ambayo kila mtu akiyasoma anaelewa.

Lakini jambo la pili wanasoma sana,wana reference nyingi sana katika maazimio yao; hoja wanazojenga hazipo katika mazingira ya ndani bali wanafanya analysis kutoka global level, continent level, country na mwisho kwa mtu mmoja mmoja.

Haya mambo kwa CCM huoni hii ladha. Mfano mzuri leo tumemsikia mwenye nchi, tumewasikia wataalam wakiwemo mawaziri na kisha tumemsikia Mwenyekiti wa CHADEMA.

Viongozi wa chama tawala na serikali kwa pamoja kila mmoja ameonyesha msimamo tofauti na mwenzake na hakuna consistence kwenye kuaddres issue za wananchi kuhusu bandari. Mbaya zaidi Mhe. Mbarawa kakosea akasema wakishindanisha kampuni akashindwa kuelewa kwamba hoja yake inapaswa kuambatana na tangazo ambalo halipo lakini pia preamble ya Mkataba inasema wazi kwamba rejea kikao...........haisemi suala la ushindani.

Ukimsikiliza Mbowe; ni kama vile ile hotuba ya awali aliyotoa kuhusu hoja ndiyo aliyoisoma kama maazimio ya chama na hoja zote zipo kwenye mjadala.

Pamoja na CCM wakati wote kuchukua critical thinkers wa CHADEMA, kwanini wanashindwa kuwatumia kama Chadema wanavyowatumia? Kwanini CCM inashindwa kuandaa watu wakuaminika? Kwanini tunadhani CCM leo inapaswa kuwa na watu wengi wa propaganda katika kipindi ambacho utandawazi umekuwa hadi vijijini?
 
CHADEMA kupitia vetting cabinet yake imeweza kuibua kulea na kukuza vipaji na vipawa katika nyanja mbalimbali na hatimaye kutengeneza think tank ya taifa yenye mnyororo usiokoma

ec6b22d7830731dfb288ab339b6bb6f7.jpg
 
Ni sahihi ukienda CCM ghafla huwezi kuwa mtu-huru wa kuweza kukishauri chama au viongozi wako wa chama kongwe dola .

Ukiwa ndani ya CCM inabidi fikra zako kama mtu-huru uzizime, ili uweze kubakia ndani ya CCM na serikali yake.

Huko akili zinazofanywa kuwa na mawazo yanayokusudiwa tu kutumikia kundi lao (CCM) na si vinginevyo.
 
Dr. Christopher Cyrillo - Wanaopinga Huwa Wamefikiri Sana, Hivyo Wasikilizwe Katika Sakata hili la Bandari.



Hayo yamesemwa na mwanaharakati Dr. Christopher Cyrillo na kuongeza kuwa kwa mazingira ya kisiasa na kijamii ya Tanzania ni muhimu viongozi na serikali pamoja na bunge lake kuchukulia kwa uzito mkubwa kwani inaeleweka kuna wengi huwa ni watu wasikilizaji na waunga mkono hoja bila kufikiri kwa kina kama wanaopinga.

Hivyo hili kundi la watu wanaotumia fikra zao kufikiri kwa kina na kupinga kuna haja kupewa nafasi kusikilizwa kwani wanasaidia kuweka mambo sawa kwa kuhoji na kutofautiana na chama dola, viongozi, serikali na Bunge la chama kimoja lililopo nchini Tanzania.
 
Ukisoma analysis za miaka yote za CHADEMA zina element ya consistence kwenye neutrality za hoja. Most of time wameweza sana kutokutoa advice,comment au maazimio ya kichama yanayokinzana na wananchi waliowengi. Wana toka na maazimio ambayo kila mtu akiyasoma anaelewa.

Lakini jambo la pili wanasoma sana,wana reference nyingi sana katika maazimio yao; hoja wanazojenga hazipo katika mazingira ya ndani bali wanafanya analysis kutoka global level, continent level, country na mwisho kwa mtu mmoja mmoja.

Haya mambo kwa CCM huoni hii ladha. Mfano mzuri leo tumemsikia mwenye nchi, tumewasikia wataalam wakiwemo mawaziri na kisha tumemsikia Mwenyekiti wa CHADEMA.

Viongozi wa chama tawala na serikali kwa pamoja kila mmoja ameonyesha msimamo tofauti na mwenzake na hakuna consistence kwenye kuaddres issue za wananchi kuhusu bandari. Mbaya zaidi Mhe. Mbarawa kakosea akasema wakishindanisha kampuni akashindwa kuelewa kwamba hoja yake inapaswa kuambatana na tangazo ambalo halipo lakini pia preamble ya Mkataba inasema wazi kwamba rejea kikao...........haisemi suala la ushindani.

Ukimsikiliza Mbowe; ni kama vile ile hotuba ya awali aliyotoa kuhusu hoja ndiyo aliyoisoma kama maazimio ya chama na hoja zote zipo kwenye mjadala.

Pamoja na CCM wakati wote kuchukua critical thinkers wa CHADEMA, kwanini wanashindwa kuwatumia kama Chadema wanavyowatumia? Kwanini CCM inashindwa kuandaa watu wakuaminika? Kwanini tunadhani CCM leo inapaswa kuwa na watu wengi wa propaganda katika kipindi ambacho utandawazi umekuwa hadi vijijini?
Kwani Kabudi alikuwa hivyo alipokuwa UDSM? Pole pole Je? Kakurwa? Tatizo ni CCM kuna mtambo wa kuchakata akili za watu hemu mtofautishe Sasa Dr Tulia na Lusinde na Msukuma
 
Back
Top Bottom