Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,591
- 7,360
Propaganda za Westerners…and they are too good kutumia big media kama BBC na CNN
ISIS ni nani, hao ni USA na Israel walitengeneza hili jina kwa kuharibu Uislam, lakini Uislam unapaa tu kila kukicha dini ya Mungu haiwezi kuangushwa na mashetani hata siku moja.ISIS wenyewe ndio wamesema wamehusika, BBC inasema kile walichosema ISIS wenyewe
kila kona ya dunia yapo makundi yenu ya hovyo , muda si mrefu mtasema hata quran yenu imeandikwa na usa maana ndo ina mafunzo ya kigaidiISIS ni nani, hao ni USA na Israel walitengeneza hili jina kwa kuharibu Uislam, lakini Uislam unapaa tu kila kukicha dini ya Mungu haiwezi kuangushwa na mashetani hata siku moja.
Mrusi anayafahamu hayo kuwa ISIS ndio hao hao USA, Ukraine, Israel na Europe.
Kiujumla ISIS ilitengenezwa na Obama na Hillary Clinton na John MacCain alikuwa ndio engineering
utumbo huu , mnaijadili ukraine kama kijiji , mnaijadili ukraine kama vile hakuna uhalifu usidhibitka na serikali , ebu tulizen akili sio kila kitu ndan ya ukraine kipo chini ya serikali ya ukraine au kinafahamika ndan ya usalama wa ukraineKama watu waliokuwa wanafanya naoawasiliano wako Ukraine ni wazi watu wa usalama wa Ukraine walitambua uwepo wao
Mapovu ya Nini subiri kipigo kiendeleeutumbo huu , mnaijadili ukraine kama kijiji , mnaijadili ukraine kama vile hakuna uhalifu usidhibitka na serikali , ebu tulizen akili sio kila kitu ndan ya ukraine kipo chini ya serikali ya ukraine au kinafahamika ndan ya usalama wa ukraine
POPOTE PENYE FUJO ISIS WAPO HAPO WALA HAWASHIRIKIANI NA SERIKALI HUSIKA
Urusi inafanya propaganda ya kivita kwa sababu ipo katika vita na Ukraine.Kwanini BBC Swahili inahimiza Islamic State wamehusika shambulio la Urusi wakati serikali ya Urusi inasema Ukraine ndio wahusika? Warusi wanahimiza Ukraine ndio wahusiks lkn BBC swahili hawataki kuripoti hivyo.
Kwanini BBC hataki ripoti badala yake wanayo yao mfukoni?
Wanajua ukweli kuhusu uhusika wa NATOKwanini BBC Swahili inahimiza Islamic State wamehusika shambulio la Urusi wakati serikali ya Urusi inasema Ukraine ndio wahusika? Warusi wanahimiza Ukraine ndio wahusiks lkn BBC swahili hawataki kuripoti hivyo.
Kwanini BBC hataki ripoti badala yake wanayo yao mfukoni?
Siamini taarifa za kremlin...ISIS wenyewe wamedai makomandoo wao waliotekeleza shambulizi hilo walifanikiwa kutoroka bila ya kukamatwa. FSB wametoa taarifa kuwakamata wapiganaji wa ISIS ili kuonesha kuwa wapo makini kiulinzi ila kiuhalisia huenda hakuna hata mmoja aliyekamatwa kama walivyothibitisha wenyewe ISISUrusi inafanya propaganda ya kivita kwa sababu ipo katika vita na Ukraine.
Mbona magaidi wamehojiwa wametoa mpango mzima wakataja mpaka maimamu waliowapa mchongo mzima?
SWaumu ilikuwa kali sanaISIS ni nani, hao ni USA na Israel walitengeneza hili jina kwa kuharibu Uislam, lakini Uislam unapaa tu kila kukicha dini ya Mungu haiwezi kuangushwa na mashetani hata siku moja.
Mrusi anayafahamu hayo kuwa ISIS ndio hao hao USA, Ukraine, Israel na Europe.
Kiujumla ISIS ilitengenezwa na Obama na Hillary Clinton na John MacCain alikuwa ndio engineering
Propaganda za Westerners…and they are too good kutumia big media kama BBC na CNN
Lakini hata nikikubali hoja zako zote bado hilo halioneshi Ukraine imehusika.Siamini taarifa za kremlin...ISIS wenyewe wamedai makomandoo wao waliotekeleza shambulizi hilo walifanikiwa kutoroka bila ya kukamatwa. FSB wametoa taarifa kuwakamata wapiganaji wa ISIS ili kuonesha kuwa wapo makini kiulinzi ila kiuhalisia huenda hakuna hata mmoja aliyekamatwa kama walivyothibitisha wenyewe ISIS
Kwani BBC ni ya USA ?Aliwahi kusema Putin wakati anafanyiwa mahojiano na Tucker Carlison wa X kuwa
" in the world of propaganda no one can beat America because they control all the big media houses"
Kwahiyo wanajua wanacho push
Bora ujikite na comedy za efm tuBBC news English or Swahili miyeyusho tu
Ukiangalia zile videos za urusi wanazosema wamewakamata hao washambuliaji unaona kabisa ni fake na zimekuwa scripted.Washambuliaji waliokamatwa hawajataja km ni wanachama wa isis wanasema tu wamelipwa wafanye shambulio
Hilo silo suali la kujiuliza.Kwanini BBC Swahili inahimiza Islamic State wamehusika shambulio la Urusi wakati serikali ya Urusi inasema Ukraine ndio wahusika? Warusi wanahimiza Ukraine ndio wahusiks lkn BBC swahili hawataki kuripoti hivyo.
Kwanini BBC hataki ripoti badala yake wanayo yao mfukoni?
Wewe wanaruhusu nini au hao Islamic state kwako ni watu wema Sana?Kwanini BBC Swahili inahimiza Islamic State wamehusika shambulio la Urusi wakati serikali ya Urusi inasema Ukraine ndio wahusika? Warusi wanahimiza Ukraine ndio wahusiks lkn BBC swahili hawataki kuripoti hivyo.
Kwanini BBC hataki ripoti badala yake wanayo yao mfukoni?