The BBC World Service is an international broadcaster, owned and operated by the BBC. It is the world's largest of any kind. It broadcasts radio news, speech and discussions in more than 40 languages to many parts of the world on analogue and digital shortwave platforms, internet streaming, podcasting, satellite, DAB, FM and MW relays. In 2015, The World Service reached an average of 210 million people a week (via TV, radio and online). In November 2016, the BBC announced that it would start broadcasting in additional languages including Amharic and Igbo, in its biggest expansion since the 1940s.The World Service is funded by the United Kingdom's television licence fee, limited advertising and the profits of BBC Studios. The service is also guaranteed £289 million (allocated over a five-year period ending in 2020) from the UK government. The World Service was funded for decades by grant-in-aid through the Foreign & Commonwealth Office of the British Government until 1 April 2014.BBC World Service English maintains eight different regional feeds with several program variations, covering, respectively, East and South Africa; West and Central Africa; Europe and Middle East; Americas and Caribbean; East Asia; South Asia; Australasia; United Kingdom. There are also two separate online-only streams with one being more news-oriented, known as News Internet. The service broadcasts 24 hours a day.
The current controller of BBC World Service English is Mary Hockaday.
Ktk page yao
wanAnalalamika Palestina kupewa na Iran
. Halafu wnalalamika Ukrain kunyimwa pesa na Marekani ili kupambana na Urusi
Bbc swahili website yenu ibadilike.
Waandishi wasiwe bias.
Waislam pia tunaipitia page hio
Pasaka njema.
Waandishi waislam mnaofanya kazi humo ktk vikao vyenu...
Kwanini BBC Swahili inahimiza Islamic State wamehusika shambulio la Urusi wakati serikali ya Urusi inasema Ukraine ndio wahusika? Warusi wanahimiza Ukraine ndio wahusiks lkn BBC swahili hawataki kuripoti hivyo.
Kwanini BBC hataki ripoti badala yake wanayo yao mfukoni?
Nimesoma makala moja ya bbc swahili ikimponda sana mchambuzi na Twitter maarufu ndugu Hinkle
Hinkle alisema mashambulio ya Hamas ya October 7 yalifanywa na Isreal alikwenda mbali zaidi na kukanusha ukatili wa Hamas wa Oktoba 7, akidai watu waliohudhuria tamasha la Supernova hawakuuawa na...
Tangu karne ya kumi na tisa, Palestina imeshuhudia idadi ndogo ya wahamiaji wa Kiyahudi, lakini waliongezeka mwishoni mwa karne ya kumi na tisa na mwanzoni mwa karne ya ishirini kwa kuanzishwa kwa harakati ya Kizayuni.
Kabla ya 1880, kulikuwa na Wayahudi 25,000 wanaoishi Palestina kwa vizazi...
Tunajua hamupendi waislam na mnapenda Mayahudi ktk hivi vita vya Gaza kati ya waislam na mayahudi na washirika wake. Lakini angalau tumieni weledi kidogo ktk kuripoti.
Jinsi mnavyoripoti basi pslestina wote washakufa. Yaani licha ya mayahudi kupigwa lkn page yenu ya bbc.swahili.co/swahili...
Tafadhari sana Watanzania nawakumbusha kwa rejea ya hawa watu Zuhura Yunus na Salim Kikeke nyakati za utawala wa Ndugu Hayati Rais Magufuli hawa viumbe hawakuwa na taswira wala nafsi zenye uzalendo na upendo kwa Taifa letu, na si hivyo tu pia hawakuwahi kuwa na news contents zenye kuinua taswira...
Yes, pasi na shaka ni wazi kabisa BBC swahili siku hizi ufanisi wenu umepungua mnooo yaani mna kiswahili kibovu mnooo yaani watangazaji wenu baadhi wana Kiswahili cha muundo wa english, yaani matumizi ya ngeli ni zero yaani in short kiswahili sio sanifu hata page zenu wanaoandika yaani hicho...
Hawa BBC Swahili watakuwa wamepokea nini unadhani nikiwasikiliza online wanakwepa kabisa kujadili Waarabu kuuziwa nchi viongozi.
Najaribu kukumbuka hawa watu walikuwa na ueledi sana kipindi Hayati Magufuli yupo madarakani walihoji bila woga.
Walihoji udhaifu Magufuli kubinya demokrasia...
Haki ya mtu kupiga kura imetajwa kwenye katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwkaa 1997 ambapo sheria ya mwaka 1984 namba 15 ibara ya 6 na sheria ya mwaka 2000 namba 3 ibara ya 4 inatamka wazi kwamba, Kila raia wa Tanzania aliyetimiza miaka 18 anayo haki ya kupiga kura katika uchauzi...
Nchi ngumu sana hii, Mheshimiwa Rais Mama Samia anasema hatatoa kwanza ajira kwanza ili awapandishe madaraja walioko kazini,duh ukijiuliza yupi mwenye uhitaji kati ya ambaye Hana ajira na ambaye ana ajira?. Leo hii vijana wapo mitaani wakiambiwa wajiajiri wenyewe lakini ukirudi nyuma...
Je,
1. Wamewiwa na Wivu juu yake?
2. Walimpenda Kinafiki?
3. Alikuwa hakai vyema na Wenzake?
4. Ni muendelezo wa tabia ya Wana Afrika Mashariki kutopendana?
5. Hawajaamini macho na Masikio yao?
6. Walitaka akitoka London BBC aje Kuuanza Umasikini Dar es Salaam?
7. Wanaonyesha Chuki...
Assalamualaikum WanaJf.
Siamini kama nilichosikia leo tarehe 01/24/2022 asubuhi ktk 'BBC Swahili' kupitia RFA ilikuwa kweli au nilikuwa kwenye ndoto.
Mtangazaji aitwae R. Oditi amesema umbali kati ya dunia na jua ni kilometers mia na hamsini (150).
Na mbaya zaidi alirudia kusema hivyo mara...
ZUHRA YUNUS, BBC, NA MAGOMENI MAPIPA
Ilikuwa Zuhra Yunus anaondoka BBC sasa ishakuwa Zuhra kaondoka.
Labda nianze kwa kusema kuwa nina ''sentiments,'' mapenzi na BBC Idhaa ya Kiswahili toka udogoni katika miaka ya 1960 na hadi leo naweza nikakuimbia ''signature tune,'' iliyokuwa inafungua...
How do you find it guys!!?
Mi binafsi nakubaliiii.
Haappy New yearrr to u alll. Love U
===
Zuchu Mwanamuziki anayechipuka , ukuaji wake umekuwa wa kushangaza.
Mwanamuziki huyu huimba kwa lugha za Kiswahili na Kiingereza na ana sifa za muziki wa Tanzania aina ya Bongo Fleva.
Mwaka uliopita...
Hakuna binadamu aliye mkamilifu. Rais SSH alifanya makosa kwa kutoa kauli zisizo "sahihi" ktk interview yake na Salum Kikeke wa BBC.
Hilo siyo jambo geni kumtokea kiongozi yeyote yule. Kinachofanyika ktk mazingira kama hayo ni kiongozi mwenyewe, au wasaidizi wake, kujitokeza kuomba RADHI na...
Ushauri aliotoa Binamu Bananga kwa CHADEMA kuhusu Mahojiano ya Rais Samia na BBC
Makamanda habari za jioni? Naamini wengi tumesikiliza mahojiano ya mama Samia na Kikeke, Nimeona Kaka yangu Lema ameandika Mahali kwamba Chama Kitakutana kumjibu, nimeshtuka kidogo, tunataka kujibu nini? Mimi...
Speech Mh. Samia Suluhu Hassan jana akihojiwa na Kikeke wa BBC naona imeligawa taifa. Kwamba tabaka la watawala na Watawaliwa.
Na kwamba ukishaazishwa uongo basi unasimamiwa na wote ili kulinda madaraka.
Kundi hili la watawala wanawatoza watawaliwa wanyonge makodi makubwa bila kujali kama...
Tathmini yangu ya juu ya mahojiano kati ya BBC Na Rais Samia Suluhu Hassan.
Na Dotto Bulendu (MwanaPuge).Nikiandika kutoka kijijini Puge.
@@@@@@
BBC wamefanikiwa kuongeza umaarufu wao Kwa Siku ya jana Kwa Maana ya Idadi ya watu wanaowasikiliza na kuwatazama kupitia Vyombo vyao vya Redio,TV na...
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema hawezi kuzungumzia kesi ya kiongozi wa chama kikuu cha upinzani- Chadema- Freeman Mbowe ambaye anakabiliwa na mashtaka ya ugaidi.
Katika mahojiano maalum na mwandishi wa BBC Salim Kikeke, Rais Samia amesema ana imani sheria itachukua mkondo wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.