Kwanini BBC Swahili inahimiza Islamic State wamehusika shambulio la Urusi wakati serikali ya Urusi inasema Ukraine ndio wahusika? Warusi wanahimiza Ukraine ndio wahusiks lkn BBC swahili hawataki kuripoti hivyo.
Kwanini BBC hataki ripoti badala yake wanayo yao mfukoni?
Kwanini BBC hataki ripoti badala yake wanayo yao mfukoni?