polokwane
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 3,984
- 7,298
Napenda watu waielewe elimu kwa upana wake ila wao wame focus kwenye kukalilishana hizo theories ambazo zimetutesa wengi sana vyuoni shit!kwani elimu ni vyeti
Mtu una lazimishwa kukariri financial theories and theories of investment by John Williams yaani unakalishwa hapo kwenye kimbweta weeee mnamjadili john Williams na fikra zake ! Ushenzi huu!
Ndio theories hizo hizo wanatumia wachumi wetu ndio maana uchumi wetu haukui, tuna piga kwata hapo hapo tuu , wanasahau kwama theory hiyo ilifaa kwa wakati huo na jamii hiyo na mazingira yale sio kwa hapa na kwasasa na kwa jamii hii.
Lazima tufike mahali tuusome uhalisia sio kukopi tuu