Kimbesa11
JF-Expert Member
- Sep 6, 2015
- 4,648
- 2,700
Kwani Sasa kuwa na masters ndo unakuwa tajiri mbona una ufikr hafifu Sana, kwani amesomea Masters ya kutengeneza hela, mtu kuwa na Elimu Ni zaidi ya kuwa na Kodi ya nyumba hayo mengine Ni majariwa ya mwenyezi MunguWatu Wana masters hawawezi kumudu kulipa Kodi ya chumba cha 50,000 wanakaa kwa wazazi wao.
Mafundi kushona, pikipiki, wachona mahindi wanamudu hivi vyumba.
Shule ya kazi gani?????
Form four tu yatosha mengine ziada