Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 38,018
Kuna tofauti kati ya kuzijua NA kuzi-practice....Inawezekana pia. Kwani kuzijua haki zako sio lazima uwe umeolewa.
Kuna tofauti kati ya kuzijua NA kuzi-practice....Inawezekana pia. Kwani kuzijua haki zako sio lazima uwe umeolewa.
Sijawahi kumpenda Joyce kiria
Uliziskia zamani hzo na kila mtu ana plans zake kwenye maisha so it's a matter of priorities basiHizi kauli nilishawahi kuzisikia sana kipindi cha nyuma wahusika waliozisema hivi sasa sijui hata wametoa wapi hekima ila kwa kifupi hauko pekee yako wa mwenendo huo.
Opinion inaweza ikawa negativeThat's my opinions whether you like it or not my dear it's not my responsibility to force you or impress you
Huo mpango wa Mungu uliuandaa wewe naomba evidence halisi ya huo mpango wa kutawala na uliandikwa na Nani?Ni mpango wa Mungu mwanaume kutawala kwa hiyo unapoteza muda kumquestion mwanaume badala ya Mwenyezi Mungu
Hakuna utakae mnyoosha. Unapoteza muda tu na hizo fikra. Hivyo ulivyobebelea kichwani in 20 years from now vitageuka kuwa mzigo wa miba kichwani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ttutawanyoosha
Rrality haipo hivyo...Hebu malizia hyo but....... Basi
Mumenyooka ndio maana sikuhizi kulia Lia humu Mara Beijing Mara wanawake this and that's that's means sindano imeingia tayariHakuna utakae mnyoosha. Unapoteza muda tu na hizo fikra. Hivyo ulivyobebelea kichwani in 20 years from now vitageuka kuwa mzigo wa miba kichwani.
Reality ipi una maanisha?Rrality haipo hivyo...
It depends on ur perceptions towards that issue, ni Kama zamani tu watu waliua twins na kuamini ni mkosi kumbe sioOpinion inaweza ikawa negative
In theory anaweza....50/50 utaiweza dada. Nanunua mboga wewe unga wa ugali unakuhusu
Mmh !! Basi kumbe wewe una shidaBora tu inipige chenga Mimi naishi ninavojiskia mkuu, hata dunia nzima ikiwa against me I don't care na hivi sijali mtu kunipa furaha ndio kabisa
Ni kweli kumbe siyo, kama ambavyo wewe unaamini unachokiamini juu hili na kumbe haipo hivyo... KUAMINI HALUIFANYI IMANI HUSIKA KUWA KWELIIt depends on ur perceptions towards that issue, ni Kama zamani tu watu waliua twins na kuamini ni mkosi kumbe sio
That's according to ur perceptions and ur thinking capacityMmh !! Basi kumbe wewe una shida
Anaweza mnooo ile ni taasisi nyingine yenye makubaliano ya watu wawili ila makubaliano yao yamesimamiwa na mapenzi anaweza hata kumuogesha mumeweHivi kweli shangazi(Fatma karume anaeza kukuwekea maji ya kukoga bafuni.
Kila mtu hupata size ya mtu wanayeendana naye maono kufikia malengo yao it's about chemistry na sio vile you don't believe on something basi wote wasipate kitu flani.Ni kweli kumbe siyo, kama ambavyo wewe unaamini unachokiamini juu hili na kumbe haipo hivyo... KUAMINI HALUIFANYI IMANI HUSIKA KUWA KWELI
Mtu analalamika kwanini wabaume wapo hivyo juu ya wanawake wa aina huyo, anapewa sababu za kwanini tupo hivyo bado anakataa... DAWA NI KUTOOLEWA TU NA AAMUE KIWA SINGLE MOTHER
Mama yangu??? Anahusikaje kwenye comment yangu?? Anyway sikufaham ila Ningekua nakufaham ningekutafuta popote pale na kukutembezea kichapoSiwezi kutuma picha yangu, unataka uifanyie Nini, ka wataka picha muombe hata mamako akutimie
Inategemea na mji ulipo.... Kama unaishi nje ya mji huko na nyumba hata haina mfumo wa maji lazima utateka maji na kubeba kwa kichwa.Hafu sikuhizi hatubebi maji kwenye ndoo twaogea shower huo mda wa kubeba ndoo utoke wapi?
Hizo enzi za kubeba ndoo ilikuwa za mabibi ka huweza kujenga nyumba yenye kila kitu usioe utakuja kusingizia tu feminism humu
Mmmmmmhmn best taratibu usimtusi.... Tumuelimishe taratibu...... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndo maana hauolewi na unajivunia kua sperm collector. Stupid and dirty feminist whore.
Na wa wenzio wamo humo kwene list akiiiHajazaliwa wa kunipiga aisee never kabisa, Mimi natoka na wanaume matured, na sio waliokulia mifumo dume, so huwa Niko makini Sana kwenye selection, wanaume suruali kwangu hawana nafasi