Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

Status
Not open for further replies.
Wanawake ni wazuri sana kusimamia na kuepusha ajali kwa familia zao na mataifa yao lakini sio familia za wenzao na mataifa ya wenzao!

Siku dunia ikiwa taifa moja hapo sawa kumpa mwanamke madaraka yale ya juu kabisa ila sio sasa mataifa na falme nyingi kuna kutoelewana.

Fikiria ukute rais wa jirani ni mwanamke na huku nchini kwetu ukute ni mwanamke alafu kuwe na chuki kati yao! Amini nakwambia vita lazima iibuke tu hata Yesu aje kuwapatanisha sio rahisi😬😬😬😬

Ahueni tunayoiona duniani leo ni matokeo ya vifua na makoromeo ya wanaume sababu ungekuta ni wanawake wanatawala wangeshaangamizana kitambo sana.
 
Muulize kwanza mwenyezi mungu ambae hakumuumba mwanamke, bali akamtoa tu ubavuni mwa mwanaume..


Yani nikubebe katika uumbaji halafu uje unifanyie kiburi?

Haiwezekani
Kwa hiyo kwenye ubavu wako nani ametolewa hapo??
 
Habari?
Hebu Leo semeni ni kipi ambacho kinafanya mchukie feminism? Hamjiamini? Au mnaogopa kutawaliwa?.
Kuna tatizo gani mwanamke akijua haki zake na kuzisimamia?.
Kuna feminists wanaojielewa, hawa hifanya kazi zo za feminism nje na wakiingia ndani kwenye familia zao wanakuwa wife material kama kawa. I know a few of them hakika.
 
Wanaume waoga na wasiojiamini ndio hupenda wanawake wawe chini. Inshort hao Ni insecure people wanaamini ili wawe wanaume kamili lazima wamnyanyase mwanamke, pia Mila na desturi nyingi bado ni tatizo hasa Africa.
Mahusiano ni lazima kika mtu apoteze ili mkutane katikati.

Ukiona kwenye mahusiano mtu mmoja anajiona ni bora na muhimu saaana kwamba ni kama anamsaidia mwenzake maisha.

Hakuna mahusiano hapo, ni ujinga tu hapo.
 
Mahusiano ni lazima kika mtu apoteze ili mkutane katikati.

Ukiona kwenye mahusiano mtu mmoja anajiona ni bora na muhimu saaana kwamba ni kama anamsaidia mwenzake maisha.

Hakuna mahusiano hapo, ni ujinga tu hapo.
Ndio mahusiano ni 50/50 ili kila mtu a fit Sasa mahusiano mengine kichomi, you have someone draining ur energy. Mahusiano mazuri ni Yale kila mtu ana gain kutoka kwa mwenzake
 
Hajazaliwa wa kunipiga aisee never kabisa, Mimi natoka na wanaume matured, na sio waliokulia mifumo dume, so huwa Niko makini Sana kwenye selection, wanaume suruali kwangu hawana nafasi
Kwa hiyo mpaka saiv hujapata wa kukuoa
Ila wapo unaotoka nao?

Ambao una select Kama ni suruali unamwacha Kama amevaa dera au skirt unamchukua???
 
Kwa hiyo mpaka saiv hujapata wa kukuoa
Ila wapo unaotoka nao??
Ambao una select Kama ni suruali unamwacha Kama amevaa dera au skirt unamchukua???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maswali yako yamenichekesha Sana ka sio kunifuraisha ni Kama kwenye kuchagua kiatu, unatafta size yako kikiwa kikubwa unakiacha au kidogo na kinachokubana. So I mean ukiona mtu ana blame jinsia flani ujui kitu ana Cho date sio size yake
 
Hoja gani uliyonayo zaidi ya ujinga, wewe unaweza kua sawa na mwanaume hata kwa kujiangalia tu ?. Kuna mwanamke yeyote mvumbuzi kama kina Eisten, Newton, Tesla etc hakuna unajua kwanini, kwasababu hamna akili.
[emoji23][emoji23][emoji23]naona unanifokea kwa fujo unfortunately sijibu matusi.
 
Feminists wa nje nawakubali sana, wanapigania haki za msingi. Kwa mfano Iran kuna gaming stations ambazo ni wanaume tu wanaingia ila wa kike akitia mguu anapigwa ajabu na police anasimama pembeni wala hafanyi kitu. Njoo Bongo uone feminists wanachopigania 😂 😂
 
'Feminists' siyo wabaya lakini wakati mwingine inabidi ku- 'practise feminism with an african touch..' Ni jambo ambalo halifichiki kuwa wengi wetu si rahisi sana kujitenga na na baadhi ya mila na wakati mwingine inahitaji wanawake kuangalia 'extent' ya 'feminism' hasa tunapokuwa tuko kwenye vijiji tulivyotoka ambavyo bado wale wazee wetu wana amini baadhi ya mila za kiafrika.

Huwezi kuniambia kama kimila ukimpelekea mkwe chakula inabidi upige magoti basi wewe kwa kuwa ni 'feminist' hutafanya hivyo.. au kwa kuwa mkiwa nyumbani baba unambeba mtoto mgongoni wakati mkeo anafanya shughuli nyingine.. usitegemee ukienda ukweni itakuwa hivyo hivyo.

Kwa hiyo 'feminism' bado ni 'movement' ambayo itaendelea kushika kasi sambamba na mabadiliko mengine ya kisiasa, kielimu n.k.

Kitu muhimu ni kujua nini cha kufanya wapi na kuwa sisi bado ni waafrika na familia/koo/makabila bado ni vitu muhimu vinavyotuunganisha..
 
[emoji23][emoji23][emoji23]wenzako wanaonilewa hunililia machozi maana ni wanaume wenye big heart na size yangu tunaelewana, our chemistry is everything so find a perfect combination
Nitakuja na gia hiyo hiyo ya kukululia chozi...
nikikupata mara majo, mbili nakuacha....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom