Sheillah Sheillah
JF-Expert Member
- Jun 17, 2020
- 695
- 1,803
- Thread starter
- #41
Kuwekewa maji ya kuoga bafuni ni upendo tu lakini sio lazima. Au wewe unaona ni lazima ?Hivi kweli shangazi(Fatma karume anaeza kukuwekea maji ya kukoga bafuni.
Kuwekewa maji ya kuoga bafuni ni upendo tu lakini sio lazima. Au wewe unaona ni lazima ?Hivi kweli shangazi(Fatma karume anaeza kukuwekea maji ya kukoga bafuni.
Hamna kitu kisichoeleweka duniani hapa just kila mtu a play part yake basi tu.Siku ukiwa ndani ya ndoa ndio utaelewa, unaelezea vitu vya chuo ukiwa o level, baya zaid ukute hujawahi kuishi na mwanaume at least 6month practically pakua pakia.
Kiburi kivipi?Muulize kwanza mwenyezi mungu ambae hakumuumba mwanamke, bali akamtoa tu ubavuni mwa mwanaume..
Yaani nikubebe katika uumbaji halafu uje unifanyie kiburi?
Haiwezekani
Hivi bado kuna kuwekeaana maji bafuni?Hivi kweli shangazi(Fatma karume anaeza kukuwekea maji ya kukoga bafuni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ttutawanyooshaUlivojbu tu inaonesha jinsi gn mna matatz
Wewe mwanaume si una haki zako? Mbona haujioi mwenyewe na kujitolea mahari?Akishajua hizo haki ajitolee mahari na kujioa, tokea enzi za kale wanaume tulipewa kazi ya kuwapenda wanawake nao wakapewa agizo la kututii basi..hizo haki unazosema ndizo huondoa utii na ndo maana nikikupa kazi ya kuniletea wenye kujua hizo haki ambao wameoleka hutaniletea.
Hafu sikuhizi hatubebi maji kwenye ndoo twaogea shower huo mda wa kubeba ndoo utoke wapi?Hivi kweli shangazi(Fatma karume anaeza kukuwekea maji ya kukoga bafuni.
kama shilole na uchebeWewe unafaa kuolewa na mwanaume mwenye element za kike la sivyo utakuwa unachezea mabanzi kila siku.
Much know kivipi?
Naweza Sana kufanya hivo mwenyewe maana Ni mtu mzima kabisa50/50 utaiweza dada. Nanunua mboga wewe unga wa ugali unakuhusu
Wanaume suruali na wanaume wasiovumilia ujinga ni watu wasiofanana, unachanganya mambo mate.Hajazaliwa wa kunipiga aisee never kabisa, Mimi natoka na wanaume matured, na sio waliokulia mifumo dume, so huwa Niko makini Sana kwenye selection, wanaume suruali kwangu hawana nafasi
Wanaume waoga na wasiojiamini ndio hupenda wanawake wawe chini. Inshort hao Ni insecure people wanaamini ili wawe wanaume kamili lazima wamnyanyase mwanamke, pia Mila na desturi nyingi bado ni tatizo hasa Africa.
Mwanamke wa dizaini yako Ni tatizo kwa dunia.Hata nikizeeka Kuna shida nilizaliwa kufanya makubwa zaidi kuliko kufanya vitu visivo happy, Kuna watu wameoa, olewa with nothing to show zaidi ya viungo vya uzazi ambavyo kila mtu anacho.
So depending na uelewa wa mtu na mipango yake
Hahaaa wanaume humu Mambo mengi hawaelewi even the concept of feminism.Hivi bado kuna kuwekeaana maji bafuni?
Hajazaliwa wa kunipiga aisee never kabisa, Mimi natoka na wanaume matured, na sio waliokulia mifumo dume, so huwa Niko makini Sana kwenye selection, wanaume suruali kwangu hawana nafasi
Kuna wanaume wale wanaoishi 15c na Mambo hayo, Ila sio tuliokulia Mambo yote tuko sawa huwashangaa hao wanaumeWanaume suruali na wanaume wasiovumilia ujinga ni watu wasiofanana, unachanganya mambo mate.
Nimeshapenda Sana tu na hyo haamaanishi mtu a overstep my boundaries, neverHujapenda na kuoza bado. Usitakane mamba kabla hujavuka mto.