Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

Status
Not open for further replies.
Na wewe Kuna mahali umeelezea vizuri feminism in terms of opportunities mbalimbali uko sahihi.
Ila hapo kuchukia wanaume hauko sahihi kabisa, maana hyo ni mtazamo wako tu, majority ya watu humu hawajui hata gender equity, equality hence wanaamini kila mwanamke mwenye tofauti na mawazo yao basi ni feminist kumbe ni wrong kabisa, humu had single mother eti feminist loh.
Ngoja nitaandaa Uzi kuhusu feminist historia yake Hadi hapa tulipo ili watu waache kuchaganya Mambo humu.
Wewe sasa ndio haujamuelewa jamaa. Wapo wanawake ambao wapo very bitter kutokana na malezi wamepitia ya manyanyaso na mateso, au mausiano ya manyanyaso.... So acha ubishi vile vile maana haujamuelewa jamaa
 
Hakuna makubwa yanayozidi mtoto wa kike kuwa na mji wake kuolewa,ukizeeka ndio utajua maana yake
Hyo Imani yako tu ka zilivo Imani nyingine na kila mtu ana malengo yake, Kama Ni mji wasemea pia Kobe na konokono nao wa miji yao wanatembea nayo kwahyo na hyo tuite mafanikio?
 
Feminism kuanzia 3rd wave wamekuwa toxic and hence wameanza kufeli nakuwa tatizo.
 
Wewe sasa ndio haujamuelewa jamaa. Wapo wanawake ambao wapo very bitter kutokana na malezi wamepitia ya manyanyaso na mateso, au mausiano ya manyanyaso.... So acha ubishi vile vile maana haujamuelewa jamaa
Sasa malezi na kuwa bitter haihusiani na feminism movement hata wanaume bitter waliopitia changamoto za malezi wapo wengi tu mitaani.
So kuwa toxic, narcissistic au bitter, sadist sidhani Kama Ina relate na movement za wanawake globally, ni Kama tu haki za watoto na kuheshimwa huwezi sema ni toxic
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hii comment yako imenichekesha Hadi machozi.
Hata ungekuwa unanifahamu huna Cha kunifanya mkuu, kwahyo ulivosema nikutumie picha yangu ulijua Mimi Ni tangazo had nikutumie au ulifikiria Mimi Ni mtu nisiyejielewa humu JF. Nilichokijibu was right kabisa kumbe usiyotaka kufanyiwa usimfanyie wengine, ka unavo mpenda mamako waheshimu pia wanawake wengine.
NB: hata Mimi ningekutama na wewe ningekupiga mpaka uchakae[emoji23][emoji23] tuone Nani zaid/QUOTE]
Nikimtazama mtu muonekano wake tu unaweza kunipa picha halisi ya maisha yake!! Humu Jf kila mtu ana maisha yake na asilimia kubwa wengi hawaoneshi their real side of their life,, nlikuambia unitumie picha ili nilinganishe na haya unayoyapigania humu kama unaendana nayo au we Ni single mother mmoja hv alietelekezwa sasa ana uchungu wa kutelekezwa matokeo yake anageukia kwenye u- feminism huku akiwa na agenda zake mwenyewe!! Ila bahati mbaya umemhusisha pia mama yangu sijajua lengo lako nini ila nimegundua Ni Yale malezi uliolelewa na manyanyaso uliopitia ndo yanakufanya hvo!!
 
Sasa malezi na kuwa bitter haihusiani na feminism movement hata wanaume bitter waliopitia changamoto za malezi wapo wengi tu mitaani.
So kuwa toxic, narcissistic au bitter, sadist sidhani Kama Ina relate na movement za wanawake globally, ni Kama tu haki za watoto na kuheshimwa huwezi sema ni toxic
Umelewa sentences zangu ila haujelewa maana iliyobebwa na hizo sentences.....

Ngoja nile nitarudi kukufafanulia
 
Wanaume waoga na wasiojiamini ndio hupenda wanawake wawe chini. Inshort hao Ni insecure people wanaamini ili wawe wanaume kamili lazima wamnyanyase mwanamke, pia Mila na desturi nyingi bado ni tatizo hasa Africa.

Umetoa maon kama msichana
 
Ninaye wangu anipendaye kwa dhati na hunililia Hadi machozi so kila mtu hupata wa type yake mkuu

kumbe shida ni kuliliwa, mwanaume anaweza tu kukulilia ili atimize malengo yake
 
Yani wanawake tuwajibike huku nyie wanaume hamuwajibiki kwa lolote halafu tuwaache tu hivi hivi, mhhh
Sema Mme wako ndo hawajibiki mkuu mwanaume tupo tunaojielewa kabisa na tunatake majukumu yetu vilivyo kabisa
 
Umelewa sentences zangu ila haujelewa maana iliyobebwa na hizo sentences.....

Ngoja nile nitarudi kukufafanulia
Nimejibu ninachojua na wewe uliandika unachoamini that's not a problem
 
Hiyo si point.
Point mabadiliko ya maisha.
Kuwekewa maji bafuni si sheri jamani.
..ni upendo, kuwekewa maji na wake zetu kunaonyesha wanatupenda na kutujali. Mabadiliko ya maisha yanakuja lakini taratibu sana, bahati tu sio wote wanaofikwa na hayo mabadiliko, that's why masikini hawataisha duniani.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom