Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,701
- 6,936
Sioni alama nyekundu.
La! Mambo ni mengi nilisahu, kwa sasa nimeweka.
Sioni alama nyekundu.
Owongooooo kweupeeeee...Wanaume waoga na wasiojiamini ndio hupenda wanawake wawe chini. Inshort hao Ni insecure people wanaamini ili wawe wanaume kamili lazima wamnyanyase mwanamke, pia Mila na desturi nyingi bado ni tatizo hasa Africa.
Ukiona Hadi leo 10.08.2020 Kuna mwanaume anapelekewa maji bafuni amini kbs naye ni maskini tu Kama maskini wengine!Hivi kweli shangazi(Fatma karume anaeza kukuwekea maji ya kukoga bafuni.
@Wangari Maathai nilijua tu utakujaUkiona Hadi leo 10.08.2020 Kuna mwanaume anapelekewa maji bafuni amini kbs naye ni maskini tu Kama maskini wengine!
Mie nilikua utaongelea habari za mwanamke akimiliki ardhi aandike na jina la mumewe[emoji14][emoji848]
Si unaona........Wanaume waoga na wasiojiamini ndio hupenda wanawake wawe chini. Inshort hao Ni insecure people wanaamini ili wawe wanaume kamili lazima wamnyanyase mwanamke, pia Mila na desturi nyingi bado ni tatizo hasa Africa.
Vipi ambao wameolewa na wamefanya makubwa....... Dont be naiveHata nikizeeka Kuna shida nilizaliwa kufanya makubwa zaidi kuliko kufanya vitu visivo happy, Kuna watu wameoa, olewa with nothing to show zaidi ya viungo vya uzazi ambavyo kila mtu anacho.
So depending na uelewa wa mtu na mipango yake
U are young...... It is all written on you....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena na uzee huu
Nilijibu kulingana na hoja ya huyo jamaa, kuwa kila kitu kipo pande zoteVipi ambao wameolewa na wamefanya makubwa....... Dont be naive
Keep guessing my dear, I'm old enoughU are young...... It is all written on you....
Unajaribu kujenga hoja but in reality bado haujafaulu kuileta katika uhalisia..... Upo kinadharia sana.Hajazaliwa wa kunipiga aisee never kabisa, Mimi natoka na wanaume matured, na sio waliokulia mifumo dume, so huwa Niko makini Sana kwenye selection, wanaume suruali kwangu hawana nafasi
Usipokua makini utaolewa na mganga wa Hadi ukishikilia misimamo ya haki sawaWanaume waoga na wasiojiamini ndio hupenda wanawake wawe chini. Inshort hao Ni insecure people wanaamini ili wawe wanaume kamili lazima wamnyanyase mwanamke, pia Mila na desturi nyingi bado ni tatizo hasa Africa.
Dogo huo u old enough unatoka wapi..!??Keep guessing my dear, I'm old enough
Kama meli ikiwa inazama waanze kutolewa wanaume na watoto Kwanza.Kama yapi hayo tusiyoyataka?
Hizi kauli nilishawahi kuzisikia sana kipindi cha nyuma wahusika waliozisema hivi sasa sijui hata wametoa wapi hekima ila kwa kifupi hauko pekee yako wa mwenendo huo.Bora tu inipige chenga Mimi naishi ninavojiskia mkuu, hata dunia nzima ikiwa against me I don't care na hivi sijali mtu kunipa furaha ndio kabisa
Hyo sadist ni yako mkuu ur trying hard to project to me, I'm okay heal urself first before pointing ur finger to me.Si unaona........
Am telling you. You have issues..... In fact we ni sadist in nature.... Check with yourself. U can't hide it ujue....
Hayo mataifa yanayo propagate feminism hadi leo hajathubutu mpatia mamlaka makuu mwanamke.....Wanawake ni wazuri sana kusimamia na kuepusha ajali kwa familia zao na mataifa yao lakini sio familia za wenzao na mataifa ya wenzao!
Siku dunia ikiwa taifa moja hapo sawa kumpa mwanamke madaraka yale ya juu kabisa ila sio sasa mataifa na falme nyingi kuna kutoelewana.
Fikiria ukute rais wa jirani ni mwanamke na huku nchini kwetu ukute ni mwanamke alafu kuwe na chuki kati yao! Amini nakwambia vita lazima iibuke tu hata Yesu aje kuwapatanisha sio rahisi[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
Ahueni tunayoiona duniani leo ni matokeo ya vifua na makoromeo ya wanaume sababu ungekuta ni wanawake wanatawala wangeshaangamizana kitambo sana.
Hao ndio wanafikjKuna feminists wanaojielewa, hawa hifanya kazi zo za feminism nje na wakiingia ndani kwenye familia zao wanakuwa wife material kama kawa. I know a few of them hakika.
Sasa mbona upo kwenye logic kisha unabatilisha hiyo logic na maneno yako ya tambo?!Ndio mahusiano ni 50/50 ili kila mtu a fit Sasa mahusiano mengine kichomi, you have someone draining ur energy. Mahusiano mazuri ni Yale kila mtu ana gain kutoka kwa mwenzake