G bznes
JF-Expert Member
- Jul 19, 2014
- 1,432
- 2,976
Ooooh kumbee nilikuwa sina habar, Hahaha ndo maana amepoa sana siku hiziiMzungu nae kampiga chini muda tu mkuu...hujajua kwani?
Ooooh kumbee nilikuwa sina habar, Hahaha ndo maana amepoa sana siku hiziiMzungu nae kampiga chini muda tu mkuu...hujajua kwani?
Tatizo wanaume wengi wanachukulia huko kutawala Kama advantage ya kuwanyanyasa wake zao.50-50 inaua mahusiano mengi, dhana ya 50-50 ni nadharia tu, reality ni kuwa lazima mwanaume amtawale mwanamke, not necessarily harsh lakini kichwa cha nyumba ni mwanaume. Sasa hawa wanaokuja na hizi nadharia wanafanya maisha yawe magumu.
Hakika kakaFeminist wengi ni much know, kuishi nao ni kununua ugomvi wa bure
Hayo ni ya kwako sio mimiKuzaa huzai ila kutomb.wa unatomb.wa tukikuita sperm bank hatujakosea.
Hebu malizia hyo but....... BasiYou have a point, but....
Wanaume tunakosea katika hilo, kutawala hakumaanishi dictatorship, kutawala kwa maana ya kuongoza familia is what i'm all about.Tatizo wanaume wengi wanachukulia huko kutawala Kama advantage ya kuwanyanyasa wake zao.
Hawajui kama kuna kutawala kwa namna nzuri..
Inabidi kwanza wakajifunze maandiko ,walisema watakuwa kichwa Cha familia Kama kristo alivyo kichwa Cha kanisa..
Je! Hawa wanaume wetu ni vichwa wa namna hiyo??
Ndiyo maana wadada wamejikuta wanahsindwa kuvumilia manyanyaso na kuamua kupaza sauti.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23]ni wewe mwenyewe ulisema vimegunduliwa na wanaume, nikakwambia vitu vingi tunavotumia Africa and third world countries vimetengenezwa na wanaume wa dunia ya kwanza kwahyo wote ni wanawake[emoji23][emoji23][emoji23] Yale Yale ya muondelezo wa dharau Hadi ukajidharau mwenyewe kwa povu lako mwenyewe.
Hafu leo unafoka sana
Mulezee mkuu anadhani watu wote wanaishi mikocheni labda.Ungehudhulia Maonesho ya kitaifa ya nanenane nyakabindi Bariadi mtu anaenda kwenye maonesho ananunua Chinees ili asirejee mikono mitupuBado levels za maisha zinatofautiana sana, wakati wapo hawakumbuki kubeba ndoo kwénda bafuni na sio bafuni tu hata kuchota maji nje, bado wapo tunaooga kwenye bafu/vyoo vya passport size.
Kumbuka bado rate ya umasikini ipo juu sana pamoja na kuwa "uchumi wa kati-chini"!!!
Of course my p.. is everything I have and I'm proud of my precious pusy. And you have nothing to shower rather than ur kibamia kisichopanda mtungi
Nawapima kwanza akili zao kuanzia maongezi na vitu vingine vingineKwahiyo hao wanaume wote unaokutanaga nao unawatestigi
Sioni alama nyekundu.Hiyo kwenye nyekundu, ndio maana ya feminism?
Sawa.I know a lot about feminism, Ila hicho kitabu ni kirahisi hasa kwa mada za humu JF vile watu hawajui chochote.
Mwanamke hakubali kuongozwa kivipi?Wanaume tunakosea katika hilo, kutawala hakumaanishi dictatorship, kutawala kwa maana ya kuongoza familia is what i'm all about.
Sasa tuje kwenye kutawala na kutawaliwa, mwanaume anaongoza familia lakini je mwanamke yupo tayari kuongozwa? Mwanamke aliongozwa sana kipindi hakukuwa na fursa sawa kwa wote baada ya mwanamke kuwa huru financially, hapo ndipo mambo yalipoanza kuharibika.
Kila mtu atambue nafasi yake ili maisha yaende.
Kama yapi hayo tusiyoyataka?Feminist kwenye faida tu?? Mbona mengine ya usawa hamuyataki.
Inawezekana pia. Kwani kuzijua haki zako sio lazima uwe umeolewa.Si uzisimamie bila kuwa na mwanaume..!!
[emoji2][emoji2] utaachaje kuusifia mtaji wako.Of course my p.. is everything I have and I'm proud of my precious pusy. And you have nothing to shower rather than ur kibamia kisichopanda mtungi
Fanya tumtafute basi,....Halafu hapo ulipoandika Sheillah Sheillah, nimemkumbuka mama mmoja anaitwa Sheila Hatibu... sijui yuko wapi yule mama! Wallah enzi zile yupo TAMWA or something like that, lau kama ningekuwa mkubwa, hakika ningeenda kumuomba nimtoe lunch!!
Nyie ndio wanaume ambao mnalazimisha kuwa watawala?Kuzaa huzai ila kutomb.wa unatomb.wa tukikuita sperm bank hatujakosea.