kifinga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 5,249
- 9,620
mkuu kuna social experiment naifanyaAisee nisamehe bure mkuu, siku zote humu jukwaani najua wewe ni Ke...
Let's meet at the top, cheers 🥂
mkuu kuna social experiment naifanyaAisee nisamehe bure mkuu, siku zote humu jukwaani najua wewe ni Ke...
Let's meet at the top, cheers 🥂
Wanawake ni wazuri sana kusimamia na kuepusha ajali kwa familia zao na mataifa yao lakini sio familia za wenzao na mataifa ya wenzao!
Siku dunia ikiwa taifa moja hapo sawa kumpa mwanamke madaraka yale ya juu kabisa ila sio sasa mataifa na falme nyingi kuna kutoelewana.
Fikiria ukute rais wa jirani ni mwanamke na huku nchini kwetu ukute ni mwanamke alafu kuwe na chuki kati yao! Amini nakwambia vita lazima iibuke tu hata Yesu aje kuwapatanisha sio rahisi[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
Ahueni tunayoiona duniani leo ni matokeo ya vifua na makoromeo ya wanaume sababu ungekuta ni wanawake wanatawala wangeshaangamizana kitambo sana.
Nachela sana, huku umenileta wewe, na mimi kuonyesha wapi unakosea na siko nje ya mada sababu ninacho kiandika hapa ni matokeo ya kuwa ndani ya mada.Mimi sihitaji kusaidiwa kufikiria maana hapo tu yenyewe uko nje ya mada ingekuwa mtihani ungeshapata zero yako
Kupoza kivipi mkuu?Utam wa JF ndio upo hapa sasa, yaan wewe ndio umeamua kupoza mada moooto kiasi kile kweli?
Nimekuita kwa nia nzuri kabisa. Si unaona sasa hivi unavyofurahi unabishana hadi mwenyewe unapenda.Daah, kwahiyo unanikana siyo ?
Nikajua umeniita kwa nia nzuri nije kupata faida, kumbe ni kinyume chake ?
Ngoja nimuite mrembo mwingine, aje kulisadikisha hili, kama kweli mimi ni mbishi au la !
kuna waziri mkuu wa Israel alikua mwanamke mtata sana anaitwa golder meirHuijui hata kidogo historia ya dunia.
Vita na matatizo makubwa duniani kati ya mataifa yamesababishwa na watawala wa kiume.Ni nadra sana kumpata mwanamke mtawala aina ya Adolf Hitler,Iddi Amin,n.k
Sasa huko ndiko anakoenda huyo[emoji1787]Hayo ya qurani staki hata kuyaona maana anatoka nje ya mada
Unaweza kuthibitisha kwamba nafurahi ? Au nafurahia hiki ninacho kifanya muda huu ?Nimekuita kwa nia nzuri kabisa. Si unaona sasa hivi unavyofurahi unabishana hadi mwenyewe unapenda.
Nisingekuita mida hii ungekuwa umepoa sana.
Bufa can I see your comment here please???
kuna waziri mkuu wa Israel alikua mwanamke mtata sana
"Unachokifanya muda huu".Unaweza kuthibitisha kwamba nafurahi ? Au nafurahia hiki ninacho kifanya muda huu ?
Thread Closed!Feminism inatafsiriwa vibaya sana, maana mtu wa jinsia yoyote ile anaweza akawa ni Feminist. Bahati mbaya sana wanawake wengi wanaofuata hii falsafa hawafahamu hata undani wake ukoje. Kuwa muhanga wa unyanyasaji na ukatili wa kijinsia hakukufanyi kuwa Feminist. Mimi binafsi ni muumini mzuri kabisa wa Falsafa ya Feminism: Naamini inaweza kuleta mabadiliko chanya ndani ya jamii nzima.
Sasa huwa tunachanganya mambo: Kuna wale wanawake wenye hasira ya maisha na wamekata tamaa na kuaamua kuwa na hasira ya kushambulia jinsia ya kiume ndiyo huwa wanajiita Feminist au tunawaita ni Feminists (This is very Incorrect). Mtu kazalishwa na mwanaume huko na akaachwa ,akaanza kuwa na hasira na wanaume wote anajiita Feminist AU mtu kalelewa na baba aliyemfanyia ukatili utotoni sasa amekuwa anachukia wanaume anajiita Feminist.
Inabidi tukae tufundishane nini maana ya Feminism: Maana wanawake wengi ambao wana kazi nzuri, elimu nzuri na kipato kikubwa (Independent Women) hujidhania kuwa wao ni Feminists. Hawa humu jukwaani ndiyo wako wengi mno na wanakera sana.
Nijuavyo mimi Falsafa ya Feminism ni zaidi ya mwanamke kuelimika au kuwa na pesa ili kupambana na jinsia ya kiume ambayo wengi hudhani ni kandamizi kiasili (Repressive and Evil in Nature). Pia ndani ya Falsafa ya Feminism kuna makundi makubwa mawili ambayo ni Radical Feminists na Moderate Feminists: Ukiwauliza hawa wanaojiita Feminists wako kwenye kundi gani hawawezi kukupa majibu, hata wewe mtoa mada Sheillah Sheillah huwezi kunipa jawabu.
NB: Hakuna mwanaume mwenye akili timamu ambaye atamchukia mwanamke Feminist. Ila tu huwa tunachukia wale wanawake wenye hasira na jinsia ya kiume kwasababu zao binafsi halafu wanavaa sura ya Feminism. Wengi wenu ni akili fupi sana na mnatukera sana(Wanaume na wanawake tunaofahamu haswa nini maana ya Feminism)
mkuu kuna social experiment naifanya
Safi.Sasa huko ndiko anakoenda huyo[emoji1787]