cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,067
- 46,696
Wewe ndo huelewa unachotaka maana unaruka Toka Jambo moja kwenda jingine hafu huko unatoka nje ya madaUahahidi nikupe mara ngapi bibie ? Unaonekana una matatizo ya kutokuwa makini.
Wewe ndo huelewa unachotaka maana unaruka Toka Jambo moja kwenda jingine hafu huko unatoka nje ya madaUahahidi nikupe mara ngapi bibie ? Unaonekana una matatizo ya kutokuwa makini.
Kwahyo ndio umeingia shift ya usikuhuna lolote..
Nionyeshe hilo ninalo ruka.Wewe ndo huelewa unachotaka maana unaruka Toka Jambo moja kwenda jingine hafu huko unatoka nje ya mada
I need evidence ya Imani basNionyeshe hilo ninalo ruka.
Labda uniambie nikupe ushahidi mara ngapi...?I need evidence ya Imani bas
Unakubali kuna watu wanaamini katika kutafuta dawa ya kifo ?I need evidence ya Imani bas
Wewe hujatoa ushahidi na Sijaona popote waiting before sleepingLabda uniambie nikupe ushahidi mara ngapi...?
Pale ikungulyabashashi wazee huwekewa Safi kabisa na goti linapigwa hata mzee baba mkulu nadhani mamsapu anamwekeaNawe unamuwekea?
Sina tatizo na wapenzi/ wenza kufanyiana mambo mazuri mazuri ya kimahaba.
Tatizo ni kuwa na matarajio kuwa mmoja wenu ana wajibu wa kumtumikia mwenzake kama mtumwa.
Jibaba zima na misuli yako hata maji huwezi kujiwekea bafuni? Aibu!!
Kama hilo tu huwezi, kuoga mwenyewe utaweza kweli?
Au napo utasubiri uogeshwe?
Hayo ya kutafta dawa ni yako na sio yangu, hafu kufa ni lazima Wala hyo sio Imani kabisaUnakubali kuna watu wanaamini katika kutafuta dawa ya kifo ?
Mimi imani yangu inaniambia ya kuwa kila nafsi itaonja umauti. Ushahidi ni kuwa watu wanakufa, na hakuna aliye zuia kufa, kadhalika hao wanawaza kutafuta dawa ya kifo hawajui kifo ni nini.
Sasa labda ili tusipoteze muda ni kuwa niambie wewe sasa ili ushahidi uwe ushahidi unatakiwa ukidhi vigezo gani ? Maana naona unazunguka zunguka tu.
Nimekuuliza sasa uniambie ushahi ili wewe uuone kuwa ni ushahidi unataka ukidhi vigezo gani ?Wewe hujatoa ushahidi na Sijaona popote waiting before sleeping
Naomba ujibu kwanza hili, umeolewa na unakaa na mumeo!Habari?
Hebu Leo semeni ni kipi ambacho kinafanya mchukie feminism? Hamjiamini? Au mnaogopa kutawaliwa? Kuna tatizo gani mwanamke akijua haki zake na kuzisimamia?
Hivi kweli shangazi Fatma Karume anaeza kukuwekea maji ya kukoga bafuni.
Utazeekea kwenu, hata vitabu vya dini havijampa mamlaka mwanamke juu ya mwanaume
Mimi sihitaji kusaidiwa kufikiria maana hapo tu yenyewe uko nje ya mada ingekuwa mtihani ungeshapata zero yakoNimekuuliza sasa uniambie ushahi ili wewe uuone kuwa ni ushahidi unataka ukidhi vigezo gani ?
Maana mimi nimeamua kujitolea kukusadia katika kufikiri kwa usahihi na kukutoa gizani ukitaka.
Tuendelee.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pambaneni.. Jinsia ya kike inaonekana dhaifu Sio kwa sababu yenu nyie ila wale waliowatangulia.. Ni muda Sasa muache kupuyanga na visivyo vya maana muwe mfano mpaka kwa vizazi vijavyo huko Kwamba Hata bila kuwezeshwa mnaweza.. Hayo ya ugentlomen kaa nayo tu maana Hawa jamaa hawatachelewa kusema natafuta sifa.. Ila najua Mkipambana Sidhani Kama Kuna Mtoto atakae kuja kushuhudia Mama yake akiteseka kisa tu Alizaliwa Mwanamke!!
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwake atakuwa na shower au jacuzzi,hajazoea kuishi maisha ya tabu kuoga kwenye makarai.
Kapumzike mama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani ngoja nikalale zangu mie
Labda nikuulize tu imani ni nini bibie ? Pili, inaonekana huelewi unacho kiegemea, nimekwambia mimi imani yangu inaniambia ya kuwa kila nafsi itaonja umauti, lakini wapo watu wanaamini vingine. Hakuna ambaye amesema kifo ni imani, bali imani ni kuwa kila kilicho hai lazima kife. Elewa hapa.Hayo ya kutafta dawa ni yako na sio yangu, hafu kufa ni lazima Wala hyo sio Imani kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahyo ndio umeingia shift ya usiku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwake atakuwa na shower au jacuzzi,hajazoea kuishi maisha ya tabu kuoga kwenye makarai.