Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

Status
Not open for further replies.
Kama hauna umri mkubwa katika ndoa ama hujaoa kabisa lazima uwaze hivyo
Jamaa imepoteza kabisa identity you can't be a man like that...
hata nyie wanawake nina hakika hampendi mwanaume zembe, zembe.....
asiwe mpigaji wala mnyanyasaji wa wanawake lkn awakemee in a gentleman way mnapokosea.....
 
Hivi wewe samurai mie Sina haki ya kufanyiwa massage?

Kwamba Wangari Hana haki ya kufarijiwa...hivi anayewaambiaga na sisi hatupitii magumu ni Nani? Kwamba nyie mmeumbwa sie tuwafariji. Nifarij nami nakufariji..nimassage na mm siku nilitaka unimassage ufanye hivyo ..mjue na sisi tunachoka Tena zaidi yenu...unayopenda kufanyia na mkeo jua anapenda Sana tu

hahahahhaha ni kweli mama naye anahitaji massage na kufarijiwa hasa wote mnapokuwa in relax mode au mama anapokuwa naye hayuko vizuri hili liko wazi..

Point yangu ipo hapa, kwa familia nyingi za KiAfrica na hata huko ughaibuni, Mwanaume ndio mpambanaji kwa muda mwingi na ndiye anakutana na magumu sana hivyo asilimia nyingi atahitaji sana huduma na faraja kutoka kwa mama.

Hivi kiukweli usiku umefika wote mko hoi, mama mpambanaji na baba mpambanaji na wote mnarudi saa nne saa tano usiku unafikiri kuna maisha hapo...na hata yakiwepo effect kubwa inahamia kwa watoto..ndio maana tunaprefer na ni uumbaji lazima mwanamme apambane na magumu na mwanamke abaki nyumbani amerelax na kudeal na vitu vidogovidogo otherwise kiukweli sioni umuhimu wa watu kuoana..
 
Yes....katika maisha ya ndoa mkiishi kwa makubaliano ni vizuri zaidi ya utemi, anamshirikisha mke kwasababu mke ndo sehemu ya maisha yake, sio rafiki wala kaka, wala dada, wala mama......kitu wasichokijua wanaume ni kwamba maelewano ktk mahusiano yanajenga sana
..na mara nyingi nyumba isiyokuwa na maelewano haina maendeleo.
 
Na umewanyoosha kwelikweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawa watu wanapenda kuzalilisha wanawake humu, Mimi shawazoea na nitamtetea mwanamke mwenzangu popote pale. Hafu wengi hawajui Mambo mengi huku wao kutukana tu hata hyo feminism wanaokimbilia hawaijui ni vile wame cremishwa vibaya tu uhalisia sio hvo
 
Hakuna asiyetaka the best, everyone wants the best. But the world doesn't offer the best in every situation. You actually get what you deserve. Huwezi kuwa na kila kitu, so probably getting married to a broke man haitakuwa ajabu, achilia mbali kuwa na nyumba yenye maji ndani.

Swala la maji bafuni was just a mere example, hata hivyo sio kila mwanaume anataka kunyenyekewa kiasi hicho.
I agree [emoji817] Ila nyie mna set high standards kutaka mfanyiwe mengi na wanawake wakati hamna kitu Cha ajabu na kipya mnachoweza kutufanyia sisi wanawake tuka feel huyu kweli ni mwanaume, zaidi tu wanaume wa sikuhizi hawajiamini Wana insecurities nyingi hata ukimuheshimu vipi bado hajiamini tu.
 
Aibu mno[emoji1787]
Aloyewaroga hawa nadhani alishakufa
Piga picha eti jibaba zima linakosa maarifa ya kawaida tu ya kimaisha [basic life skills]....noma sana!

Na hili suala la basic life skills si la kijinsia. Ni la kibinadamu tu. Hivyo, si la wanawake au la wanaume. Ni la kila mmoja wetu.

Mtu ambaye hana basic life skills ni mzigo.

Sasa sijui bila kumuwekea hayo maji huko bafuni hatooga??!!

Kuendekeza uvivu, uzembe, na ujinga tu.
 
Piga picha eti jibaba zima linakosa maarifa ya kawaida tu ya kimaisha [basic life skills]....noma sana!

Na hili suala la basic life skills si la kijinsia. Ni la kibinadamu tu. Hivyo, si la wanawake au la wanaume. Ni la kila mmoja wetu.

Mtu ambaye hana basic life skills ni mzigo.

Sasa sijui bila kumuwekea hayo maji huko bafuni hatooga??!!
Hebu washangae na wewe hawa wanaume wenzako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Muwe mnawaelekeza wenzenu jamani [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanaume waoga na wasiojiamini ndio hupenda wanawake wawe chini. Inshort hao Ni insecure people wanaamini ili wawe wanaume kamili lazima wamnyanyase mwanamke, pia Mila na desturi nyingi bado ni tatizo hasa Africa.
Rubbish!!!
 
Hawa watu wanapenda kuzalilisha wanawake humu, Mimi shawazoea na nitamtetea mwanamke mwenzangu popote pale. Hafu wengi hawajui Mambo mengi huku wao kutukana tu hata hyo feminism wanaokimbilia hawaijui ni vile wame cremishwa vibaya tu uhalisia sio hvo
Kutukana kawaida yao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Debe tupu haliachi...[emoji14][emoji2092]
 
Na mdada anayekubali kuolewa na mtu Hana nyumba yenye bomba ndani ajichunguze wanaume wasio na kitu ni vinara wa unyanyasaji Sana kwa wanawake hata mkitofautiana mawazo anaita ufelimism.
Ndio yeye anaweza ona kupelekewa maji ndio mke mwema Ila wengine hawafikirii hivo wao wapelekewe sawa hata wasipopelekewa it's okay
Hafu majority humu wanaamini mwanamke akitofautiana mitazamo basi ni feminist, Mara hivi Mara vile, ka JF ni great thinker lakini bado watu wako na narow mind tuna safari ndefu sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
mwanamke ameumbwa kutawaliwa sasa akiwa much know huku uwezo wake wa kufikiri ukiwa mdogo inakua hatari sana watu waliooa wanalijua hili unaweza kukuta mama kwa uzembe tu alikua anasukana na wenzio anaacha mtoto anaenda kuungua na maji ya moto you can mention alot of uzembe ambao wanaume tunauvumilia

Aisee nisamehe bure mkuu, siku zote humu jukwaani najua wewe ni Ke...



Let's meet at the top, cheers 🥂
 
Ni natural law umeikuta ina oparate hivyo, hiyo yako ndio umeanza kui induce(human effort) na unatumia nguvu nyingi sana.

Natural law do not involve human effort they are naturally occuring and guided by the supernatural forces controlled by the nature (God)

********* proof*********
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom