Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,591
- 235,452
Kuchosha wenzioHivi ndivyo nilivyo mimi.
Kuchosha wenzioHivi ndivyo nilivyo mimi.
Usipate shida bibie, nilicho kiandika kinaonekana na kipo wazi, kama una ubavu onyesha udhaifu wa hiki nilicho kiandika, ukiweza nitaomba uongozi wa jf waifute hii ID na wewe utakuwa shahidi.Sasa kwa hayo uliyoandika wewe ndio dhaifu kuliko dhaifu yemyewe
Kwani Wanaume ndo tunatabirika bro! Tuache kuishi kwa mazoea.. We mama Yako angejitambua Mapema na kujijua ye ana uwezo gani Unafkiri uwezo Wako wa kufikiri ungekua Hapo kwa Sasa?
Ungekua mbali sana, Kijana unaejielewa maana kwa asilimia 75 ye ndo aliekujenga kiakili na kimwili. Tuwape credit aisee.. Mwanaume wa kweliakweli na Kinamama aisee
Wenzangu kina Nani wanatafta hyo dawa na kwanini usiwe wewe una refer wengine?Nimecheka sana, wenzako wapo wanatafuta dawa ya kuzuia kufa, sasa hawa wenzako unawaweka wapi ? Hii ni imani bibie,ambayo ina ithibati.
Ingekuwa kuzaliwa ni jambo la kiasilibasi kila mwanamke angekuwa ana zaa au kila mwanaume angekuwa anazalisha.
Kwenye mapenzi hakuna kitu nani mkubwa na nani mdo ila baada ya mapenzi ndio hayo mambo huanza,Habari?
Hebu Leo semeni ni kipi ambacho kinafanya mchukie feminism? Hamjiamini? Au mnaogopa kutawaliwa? Kuna tatizo gani mwanamke akijua haki zake na kuzisimamia?
Ngoja labda nikuulize;Wapo wa kutosha saint.
Hivi ndivyo nilivyo mimi.Kuchosha wenzio
Yani sijui ana maanisha Nini huyu jurjanKawaida yake
Hao waisilamu wewe Ndo msemaji wao?Waislam wanaamini una pepo la ngono linalokutumia
Safi kabisa, sasa ndiyo uwaombe hao wana sayansi wakupe huo ushahidi wa kutafuta dawa ya kifo, maana wao wanaona kifo kama ugonjwa au tatizo.Wenzangu kina Nani wanatafta hyo dawa na kwanini usiwe wewe una refer wengine?
Science ni kitu chenye ushahidi usi confuse science na vitu intangible
I stand to be corrected Mkuu, wao watupie tu hoja tuzione tuneemeke maarifa..Wewe subiri wanakuja kukujibu kiboko yenu ni cariha tu anabishana na jf yote na halali
Yeye mwenyewe sidhani kama anaelewa alichokiandika.Yani sijui ana maanisha Nini huyu jurjan
Hayo ya qurani staki hata kuyaona maana anatoka nje ya madaYeye mwenyewe sidhani kama anaelewa alichokiandika.
Atakuchosha bure halafu si muda mrefu atataka mjadili Qur'an.
Utam wa JF ndio upo hapa sasa, yaan wewe ndio umeamua kupoza mada moooto kiasi kile kweli?Yeye mwenyewe sidhani kama anaelewa alichokiandika.
Atakuchosha bure halafu si muda mrefu atataka mjadili Qur'an.
Mimi nataka ushahidi wako wa Imani Sasa unabadilika Tena nikawaombe wao are you serious?Safi kabisa, sasa ndiyo uwaombe hao wana sayansi wakupe huo ushahidi wa kutafuta dawa ya kifo, maana wao wanaona kifo kama ugonjwa au tatizo.
Halafu bibie, nakukanya usiwe kichwa mchunga kiasi hicho, sayansi haina ithibati bali wanatumia mawazo yao na kuyaita "Evidence au Facts". Usiongee Sayansi mbele yangu sababu nitakuona bado uko gizani tu. Soma utakavyo soma na inaonekana Sayansi huijui, tatizo kubwa linalo ikumba sayansi mpaka kesho ni namna yao ya kufikia hitimisho juu ya jambo fulani, ndiyo maana leo watasema hivi kesho watabadilika watasema vile.
Another Gentleman [emoji7][emoji122]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani ngoja nikalale zangu mieWewe subiri wanakuja kukujibu kiboko yenu ni cariha tu anabishana na jf yote na halali
Uja mnyamba kisawa sawa.........!!! Nyambua kama unavonyambua noti mbichi iliyolowana na maji kwenye mfuko wako wa suruali........... nakwambia atasema hata mahakamani aendi kutetea watu tena ......au kusema yasio muhusuHivi kweli shangazi Fatma Karume anaeza kukuwekea maji ya kukoga bafuni.
Uahahidi nikupe mara ngapi bibie ? Unaonekana una matatizo ya kutokuwa makini.Mimi nataka ushahidi wako wa Imani Sasa unabadilika Tena nikawaombe wao are you serious?
huna lolote..Hajazaliwa wa kunipiga aisee never kabisa, Mimi natoka na wanaume matured, na sio waliokulia mifumo dume, so huwa Niko makini Sana kwenye selection, wanaume suruali kwangu hawana nafasi