cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,067
- 46,696
Bora Sasa nafanyiwa vyote endlesslykumbe shida ni kuliliwa, mwanaume anaweza tu kukulilia ili atimize malengo yake
Bora Sasa nafanyiwa vyote endlesslykumbe shida ni kuliliwa, mwanaume anaweza tu kukulilia ili atimize malengo yake
My baby is responsible kwenye kila sectorSema Mme wako ndo hawajibiki mkuu mwanaume tupo tunaojielewa kabisa na tunatake majukumu yetu vilivyo kabisa
Hapa ndipo unapofeli.... Kuamini kuwa upo logical wakati in reality unajaribu kuwa rationalNimejibu ninachojua na wewe uliandika unachoamini that's not a problem
Muongo......My baby is responsible kwenye kila sector
.. umasikini hautaisha, ndio maana hata bible imetupa faraja, "wapeni masikini pombe walewe, ili wazisahau shida zao".Ukiona Hadi leo 10.08.2020 Kuna mwanaume anapelekewa maji bafuni amini kbs naye ni maskini tu Kama maskini wengine!
Mie nilikua utaongelea habari za mwanamke akimiliki ardhi aandike na jina la mumewe[emoji14][emoji848]
Huwezi kuwa na muda wa kuhangaika na mipango kinyume na muumbaWewe mwanaume si una haki zako? Mbona haujioi mwenyewe na kujitolea mahari?
Wanaume wamepanic humu
MUULIZE KWANZA MWENYEZI MUNGU AMBAE HAKUMUUMBA MWANAMKE, BALI AKAMTOA TU UBAVUNI MWA MWANAUME..
YANI NIKUBEBE KATIKA UUMBAJI HALAFU UJE UNIFANYIE KIBURI?
HAIWEZEKANI
Nikuambie tu ukweli hiki unachokipigania humu Jf wala hata haukiishi ila uunawapotosha wenzako na kama unasema your baby is responsible kwenye kila sector basi huyo baby wako we ndo unamuweka mjini na ndo maana umesema mahali kua anakulilia lakn kama hiki unachokipigania Ni kweli huyo mwanaume wa kuishi naww ana shda kubwa sanaMy baby is responsible kwenye kila sector
yxISanaaaaa,kuna huyu kaamua kufoka kabisa!!
Nadhani kwa uelewa wako umeisha watoa wanawake wa vijijini. Feminist mzuri lazima uangalie wa vijijini kabla ya wa mjiniHahaaa wanaume humu Mambo mengi hawaelewi even the concept of feminism.
Sasa dunia hii mtu unabebaje maji kwenye ndoo
Basii mamaaa hutaniwiHuyo mganga atanipatia wapi maana siamini uganga kabisa, na misimamo yangu hii Hadi kaburini
Nisaidie iko kitabu mkuu kitanisaidia sana! Naenda nalewaaaaa mr akiuliza namfunulia mandiko namwambia nakunywa sababu ya umasikini.. umasikini hautaisha, ndio maana hata bible imetupa faraja, "wapeni masikini pombe walewe, ili wazisahau shida zao".
Halafu kwa takwimu zisizo rasmi unadhani ni watanzania asilimia ngapi wana maji yanatiririka bafuni?
Sorry mkuu naomba mjadala usimhusu mama yangu Tafadhali toa mawazo yako pasipo kugusia mama yangu humjui na umejuaje Ana shida ya kitenge??? Nakuweka kwenye kundi Fulani la ma slay queens hv ambao hawana adabu kbs japoYani nikutumie picha yangu ili iweje ndio maana nikakwambia mamako akutumie picha umkumbe umnunulie hata kitenge ili afurahi kukwambia tu hvo ukanipovukia hatari Yani.
Halafu feminism Wala haihusiani na single mother au double mother's ni movement ya equality kwa wanawake duniani kujikwamua kiuchumi, kupata elimu na Mambo mengine ya kujitoa kwenye umaskini.
Halafu Mimi Ni mwanamke wa kawaidi ninayesimamia ninachokiamini na ninachokijua
Sio Vita mwananguI know myself and you don't know me right?
Ndagha bhabha!