Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

Status
Not open for further replies.
[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu wewe unawezana na village girl, primitive in nature Sasa mie utaniwezea wapi zaidi ya kuishia jela ukaji mwambafai huko ka wewe Ni kidume kweli
Jela? Unaichukulia Kama Ni jehanum Fulani hv kwa mtazamo wako?? Mwanaume wa ukweli hawez kuogopa kwenda Jela mm tukidate naww hata kama itafikia hatua ya kwenda Jela ila nahakikisha nishakuachia funzo ambalo huwez kusahau maishani mwako!!
Haf unaposema size yangu Ni wa vijijini usifikirie kua kila anaeish kijijini Ni primitive unavofikiria wako watu nawafahamu wako vijijini ila very smart ever!! We unaejifanya wa mjini ndo huna lolote la kujivunia
 
Nadhani kwa uelewa wako umeisha watoa wanawake wa vijijini. Feminist mzuri lazima uangalie wa vijijini kabla ya wa mjini
Wewe ndio umewatoa vijijini Sasa Kama mtu hakupelekei maji bafuni kachoka mnamwita feminist tuwaejeweje nyie?
Acheni kuchaganya vitu Yani mwanamke asipkubali Jambo tayari ni feminist, akiongea ka katiwa ndimu tayari ni feminist real!
 
Mie nadhan Kama hakuna maji ni wewe mwanaume unisaidie kujaza kwenye chombo diaba ili maji yatumike..nadhan ni sawa wewe kunisaidia kuchotelea maji bafuni..Huku Mimi napika...Raha ya ndoa kugawana majukumu na kusaidiana

sidhani kama haya ndio issue, mambo madogomadogo kama haya sio issue saana balaa liko pale ufalme wa Mwanaume unapogushwa na wenzetu kutaka ufalme... lakini lazima tukubaliana anahandle ndoa ni mama si baba, how mama anahandle ndoa hapo lazima autukuze na kuutunza ufalme wa baba ndio kama hapo sasa shida ilipo kwa hawa feminist..
 
Nikuambie tu ukweli hiki unachokipigania humu Jf wala hata haukiishi ila uunawapotosha wenzako na kama unasema your baby is responsible kwenye kila sector basi huyo baby wako we ndo unamuweka mjini na ndo maana umesema mahali kua anakulilia lakn kama hiki unachokipigania Ni kweli huyo mwanaume wa kuishi naww ana shda kubwa sana
Na anayekubali kupotoshwa kisa comments zangu hajielewi huyo kabisa, hafu mtazamo wako unavo uona wa maana Kuna mwingine anaona uko wrong kabisa na Wala halelewi kabisa
 
Amu mimi hata sijui feminism ni nini?[emoji39] Ngoja nitafute tafsiri, japo najua kuna wanawake ni ngumu kuwa-handle as background zao zinawahukumu, wengine ni watii tu kwa waume zao, na hicho sisi vidume ndio tunataka, tunataka "mtutii" baaaas!!
Yes utii ni muhimu kwenu hilo halina ubishi.
Hakuna mwanamke mgumu kumhandle ikiwa utasimama kama mwanaume na baba wa familia.
Tatizo wengi wanaokataa wanawake argumentative ni wale type "mimi ndo baba Yenu" mwanaume anajitambulisha kwa watoto.

Type ya mwanaume huyu lazima atalazimisha awekewe maji bafuni ili aonyeshe ukidume wake na akikuta hajawekewa atakoroma balaa.
 
Wewe ndio umeanza dharau Mara vile single mother sijui Nini what is the difference btn ur mother and single mom unaye mzalilisha humu. Umepata taste of ur own medicine, Tena wataka nikutumie picha eti uijadili hivi ulikuwa serious?
Mama yangu huwez jifananisha nae hata kidogo japo she is no longer ila huwez mfikia kwa namba yoyote ile by the way kama unahisi bila kumtaja mama yangu mjadala hujanoga endelea once more
We Ni Malaya fulan hv aliekosa malezi na huna lolote la kujivunia zaid
 
sidhani kama haya ndio issue, mambo madogomadogo kama haya sio issue saana balaa liko pale ufalme wa Mwanaume unapogushwa na wenzetu kutaka ufalme... lakini lazima tukubaliana anahandle ndoa ni mama si baba, how mama anahandle ndoa hapo lazima autukuze na kuutunza ufalme wa baba ndio kama hapo sasa shida ilipo kwa hawa feminist..
Ufalme huo upi boss wangu
 
Jela? Unaichukulia Kama Ni jehanum Fulani hv kwa mtazamo wako?? Mwanaume wa ukweli hawez kuogopa kwenda Jela mm tukidate naww hata kama itafikia hatua ya kwenda Jela ila nahakikisha nishakuachia funzo ambalo huwez kusahau maishani mwako!!
Haf unaposema size yangu Ni wa vijijini usifikirie kua kila anaeish kijijini Ni primitive unavofikiria wako watu nawafahamu wako vijijini ila very smart ever!! We unaejifanya wa mjini ndo huna lolote la kujivunia
Jela mnaogopa vizuri tu mnajimwambafai tu humu nyuma ya fekero, halafu kabla hujanifanyia Jambo baya nakuwa mapema Sana kabla madhara hayajatokea tuone Nani zaidi
 
Naweza Sana kufanya hivo mwenyewe maana Ni mtu mzima kabisa
Unaweza kufanya hivyo lkn wasiwasi wangu ni kuwa mumeo atatafuta mboga kwa kufanya kazi ila wewe utaleta ugali kwa kudanga. Hapo ni kujidanganya tu.
 
mafeminist wote wanaona wenzao walio kwenye ndoa na kuzihandle vizuri ni masnitch na huwa wanawachukia wenzao with their good life..

Ukiona mwanamke anakwambia mimi nataka nizae tu sitaki kuolewa ujue kahaba hilo...
Hivi feminism imekataza ndoa ee??
 
Ndagha bhabha!
Wakati nakua age Kama 18 dingi alikua anastukalisha Sana vikao of which I hatukua tunapenda kbs tulikua tunamuona mnoko..alikua anasema security kubwa ya mwanamke ni elimu( so anasisitiza tusome) na kazi nzuri( own your own)
Ndo haya aliyokua anayamaanisha .yaan unyanyasike kisa?yaan we Eli wewe unataka upelekewe maji bafuni ndo ujue nakupenda?
Hiyo ni mfano tu mahaba. But ukimpeleka hakuna utakachopungukiwa hata kidogo..... Maana ni kama kumpelekea maji ya kuoga baba yako, kaka yako, mtoto wako. Kwani na hao ukiwapelekea ni unyanyasaji wa kijinsia au ni utoto wako tu unakuzidi nguvu.

Kimsingi baba yako alikuwa anakupa silaha just incase ukipatwa na vita but wewe umeona kuna silaha sasa unataka kulazimisha vita na umeambiwa vita hakuna.
 
Mama yangu huwez jifananisha nae hata kidogo japo she is no longer ila huwez mfikia kwa namba yoyote ile by the way kama unahisi bila kumtaja mama yangu mjadala hujanoga endelea once more
We Ni Malaya fulan hv aliekosa malezi na huna lolote la kujivunia zaid
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na nilitumia huo mfano tu ili kuonyesha usipende mzazi wako aheshimiwe huku unatukana wanawake wengi akiguswa unafoka ka chatu mwenye hasira.
Mimi hata sijiuzi maana sio bidhaa najiheshimu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom