Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

Kwanini baadhi ya wanaume hamuwapendi Feminists?

Status
Not open for further replies.
Dah! Mi sijui bhana lakini binafsi, mwanamke wa "hewala baba..." simpendi hata kidogo!!! Yaani mi wanawake aina ya Fatma Karume ndo huwa wananitia nyege kweli kweli kuliko wanawake aina ya Mama Samia Suluhu!

Raha ya demu, muwe mnabishana... tena mwanamke wa aina hii unadumu nae kweli kweli! Ukiniuliza my ex ambae hadi leo sijamsahau ni yule niliyekuwa nae college manake hadi classmates walikuwa wanashangaa nawezana wezana nae vp... kwanza alikuwa hapendi kuonewa no matter what!!

Haki tena, I miss her pamoja na kwamba miaka kadhaa imepita!!!
 
Wanaume waoga na wasiojiamini ndio hupenda wanawake wawe chini. Inshort hao Ni insecure people wanaamini ili wawe wanaume kamili lazima wamnyanyase mwanamke, pia Mila na desturi nyingi bado ni tatizo hasa Africa.
Hivi wewe umeishia la ngapi vile?
 
Feminism inatafsiriwa vibaya sana, maana mtu wa jinsia yoyote ile anaweza akawa ni Feminist. Bahati mbaya sana wanawake wengi wanaofuata hii falsafa hawafahamu hata undani wake ukoje. Kuwa muhanga wa unyanyasaji na ukatili wa kijinsia hakukufanyi kuwa Feminist. Mimi binafsi ni muumini mzuri kabisa wa Falsafa ya Feminism: Naamini inaweza kuleta mabadiliko chanya ndani ya jamii nzima.

Sasa huwa tunachanganya mambo: Kuna wale wanawake wenye hasira ya maisha na wamekata tamaa na kuaamua kuwa na hasira ya kushambulia jinsia ya kiume ndiyo huwa wanajiita Feminist au tunawaita ni Feminists (This is very Incorrect). Mtu kazalishwa na mwanaume huko na akaachwa ,akaanza kuwa na hasira na wanaume wote anajiita Feminist AU mtu kalelewa na baba aliyemfanyia ukatili utotoni sasa amekuwa anachukia wanaume anajiita Feminist.

Inabidi tukae tufundishane nini maana ya Feminism: Maana wanawake wengi ambao wana kazi nzuri, elimu nzuri na kipato kikubwa (Independent Women) hujidhania kuwa wao ni Feminists. Hawa humu jukwaani ndiyo wako wengi mno na wanakera sana.

Nijuavyo mimi Falsafa ya Feminism ni zaidi ya mwanamke kuelimika au kuwa na pesa ili kupambana na jinsia ya kiume ambayo ni kandamizi kiasili (Evil in Nature). Pia ndani ya Falsafa ya Feminism kuna makundi makubwa mawili ambayo ni Radical Feminists na Moderate Feminists: Ukiwauliza hawa wanaojiita Feminists wako kwenye kundi gani hawawezi kukupa majibu, hata wewe mtoa mada Sheillah Sheillah huwezi kunipa jawabu.

NB: Hakuna mwanaume mwenye akili timamu ambaye atamchukia mwanamke Feminist. Ila tu huwa tunachukia wale wanawake wenye hasira na jinsia ya kiume kwasababu zao binafsi halafu wanavaa sura ya Feminism. Wengi wenu ni akili fupi sana na mnatukera sana(Wanaume na wanawake tunaofahamu haswa nini maana ya Feminism)
Na wewe Kuna mahali umeelezea vizuri feminism in terms of opportunities mbalimbali uko sahihi.
Ila hapo kuchukia wanaume hauko sahihi kabisa, maana hyo ni mtazamo wako tu, majority ya watu humu hawajui hata gender equity, equality hence wanaamini kila mwanamke mwenye tofauti na mawazo yao basi ni feminist kumbe ni wrong kabisa, humu had single mother eti feminist loh.
Ngoja nitaandaa Uzi kuhusu feminist historia yake Hadi hapa tulipo ili watu waache kuchaganya Mambo humu.
 
Wewe mwanaume si una haki zako? Mbona haujioi mwenyewe na kujitolea mahari?
Skia tuokoe muda na wakati!
Haya mahusiano mnayojifunza kupitia social media si halisi, bibi zenu waliweza kudumu kwenye mahusiano hadi wakazeeka kwa kuwa hapakuwa na mitandao ya kijamii...sasa wewe endelea kujifunza haki. Ngoja nikupe na kitabu kabisa
 

Attachments

Dah! Mi sijui bhana lakini binafsi, mwanamke wa "hewala baba..." simpendi hata kidogo!!! Yaani mi wanawake aina ya Fatma Karume ndo huwa wananitia nyege kweli kweli kuliko wanawake aina ya Mama Samia Suluhu!

Raha ya demu, muwe mnabishana... tena mwanamke wa aina hii unadumu nae kweli kweli! Ukiniuliza my ex ambae hadi leo sijamsahau ni yule niliyekuwa nae college manake hadi classmates walikuwa wanashangaa nawezana wezana nae vp... kwanza alikuwa hapendi kuonewa no matter what!!

Haki tena, I miss her pamoja na kwamba miaka kadhaa imepita!!!
That's my Chige umeelezea vizuri kabisa, kila watu huwa na taste na watu wa aina flani flani hivi
 
Ona Mange Kimambi amemtifua jamaa ake wa Kibongo kaenda kujishikilia kwa Mzungu huko
 
Uumbaji wa Mwanamke tayari wenyewe unakataa hicho wanachokidai wanaita haki sawa..
Tofauti ya uumbaji kwa mwanamke na mwanamme vinakataa haki sawa na ukienda tofauti na hapo lazima shida itokee..
 
Hafu sikuhizi hatubebi maji kwenye ndoo twaogea shower huo mda wa kubeba ndoo utoke wapi?
Hizo enzi za kubeba ndoo ilikuwa za mabibi ka huweza kujenga nyumba yenye kila kitu usioe utakuja kusingizia tu feminism humu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Walishaanza kukupigia ramli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiona hivyo ujue mtu hana hoja
My dear huku shatukanwa matusi yote na wameanza ramli chonganyishi mapema kabisa, wanaume wa sikuhizi tuwaanzishie empowerment yao maana wanapotea mapema mno.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom