Dah! Mi sijui bhana lakini binafsi, mwanamke wa "hewala baba..." simpendi hata kidogo!!! Yaani mi wanawake aina ya Fatma Karume ndo huwa wananitia nyege kweli kweli kuliko wanawake aina ya Mama Samia Suluhu!
Raha ya demu, muwe mnabishana... tena mwanamke wa aina hii unadumu nae kweli kweli! Ukiniuliza my ex ambae hadi leo sijamsahau ni yule niliyekuwa nae college manake hadi classmates walikuwa wanashangaa nawezana wezana nae vp... kwanza alikuwa hapendi kuonewa no matter what!!
Haki tena, I miss her pamoja na kwamba miaka kadhaa imepita!!!
Raha ya demu, muwe mnabishana... tena mwanamke wa aina hii unadumu nae kweli kweli! Ukiniuliza my ex ambae hadi leo sijamsahau ni yule niliyekuwa nae college manake hadi classmates walikuwa wanashangaa nawezana wezana nae vp... kwanza alikuwa hapendi kuonewa no matter what!!
Haki tena, I miss her pamoja na kwamba miaka kadhaa imepita!!!