Albosignathus
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,898
- 1,051
- Thread starter
- #261
Ndo najua leo
Makanisa yapo saudia ila hayapo mecca.
Ndo najua leo
Mpendwa kuishi na wanaoamini na wasio amini hiyo haiepukiki na sio dhambi na usilinganishe kuishi mchanganyiko na kwenda ndani ya msikiti na kuswali wakati anadai yeye mkristo,biblia inasema 'msifunge nira na wasioamini'.DANIEL na wenzake waligoma kuabudu miungu ndani ya uwanda wa dura kwa mfalme NEBKADREZA.
sasa mambo ya kuhisi unamletea nani?ya kuhis discuss na demu wako
Labda tujue nini maana ya nira? Je papa alifunga nira? Au alijumuika nao tu kwa sala kama sehemu ya kuweka mahusiano yao vzr?
Makanisa yapo saudia ila hayapo mecca.
Wewe ndio mwenye mawazo mgando kwa maana kwa maana hujui kwamba muislam hamruhusu mtu kuingia msikitini na kuswali kama sio muislam!! ila kwanini papa yeye wamkubalie??? Inajulikana dunia nzima kwamba kanisani hakuna kizuizi kwa mtu yeyote kwahiyo picha yako haina maana.
KUMBE MUHAMAAD HAKUTUMWA KWA ULIMWENGU! ALITUMWA KWA WAARABU!
We mtoto wa zinaa! Mauwaji yaliotokea huko Afrika ya kati unayaita VITISHO??
Amma kweli KAFIRI siku zote hana aibu wala hajui vibaya.
Ndugu wana JF.Ningependa kupata ufafanuzi kwa wale wanaojua kwamba kwanini Papa huingiaga msikitini ilhali yeye sio muislam na ukizingatia kwamba waislam hawaruhusu mtu yeyote asie muislam kuingia msikitini???
Mwaka 1992 marehemu Pope John wa pili aliingia msikitini akiwa Jordan na kufanya ibada pamoja na waislam.
We mgalatia usikuwa na busara unaweza kulinganisha waabudu sanamu la mzungu ambao wanakula Nyamafu nguruwe na WAISLAMU?
Amma huna adabu mtoto wa kike we!
Wakristo wote wanamuabudu SHETANI (LUCIFIER) Kila siku.
Wanakula vya HARAMU ktk matumbo yao.
Na wanawaona wazungu ni kama shemeji na wadigo zake na Yesu!
Wanaamini kuwa mungu wao ana mama, mjomba, shangazi, na alijitoa muhanga ili wao wapone!
Eti mungu alimpenda sana mwanawe yesu akaamua kumtoa kafara ili awaokoe nyie misukule.
We ukupewa hilo penzi la KUUWANA kutoka kwa huyo mungu anaetoa watoto wake kafara UTALIKUBALI??
Acheni KUKUFURU NYIE! Jahannam ni mbaya mno.
Na wataingia humo MAKAFIRI NA WASHIRIKINA.
mmmh mbona msikitini kuingia hamna kizuizi aisee kila mtu anaweza ingia tu msikitini aisee
Ishmael unazungumzia mji au msikiti?
Makka ni mji wa Saudi Arabia, sheria za NCHI hio ndio zinasema kuwa asiingie aliekuwa si muislam.
Si Quran wala Sunnah zinazosema wasiingie, ni sheria ya NCHI yao.
Acheni kutengeneza bifu la kidini kwa lazima... kuna mengi ya kufanya na ku discuss yatakayo wasaidia wengi.
Labda tujue nini maana ya
nira? Je papa alifunga nira? Au alijumuika nao tu kwa sala kama sehemu
ya kuweka mahusiano yao vzr?
Kufanya ibada tena? Hii naomba ushahidi babaaa.... maana ibada za kiislam hazifanyiki hivi hivi tu.... na kama alifanya ibada basi ujuwe kuwa alisilimu....
Like I said earlier.. think before you lip! !!