Kwanini Askofu mkuu wa Roma huingiaga msikitini??

Kwanini Askofu mkuu wa Roma huingiaga msikitini??

Status
Not open for further replies.
misikitini anaingia yoyote yule..ata wasio na pakulala wanalala misikitini..mateja wevi chokoraas mishen towns etc
 
Naona Mkuu bado unawaandama jamaa zako Wakatoliki, mpaka kieleweke,sio!? Teeeh! Teeh! Teeeh!

Kama wewe umethibitisha yakua Pope alisali kwa kanuni na tartib za Kiislam...basi lazim itakua alisilimu...japo kisirisiri,au!?

Shukran!

Nahisi jambo kama hilo mkuu.
 
Mkuu,

Kwa kifupi,hii issue yakua Pope Benedict kuwa alisilimu au kuonyesha interest kubwa mno kwa Uislam...inajulikana mno na imetapakaa saana tu!...yaani hii ni open secret ya Vatican! Teeeh! Teeeh! Teeeh!

Yaani Pope Benedict alionyesha ishara/interest kubwa mno kwa Uislam...kiasi ya kuleta suspicion hata kwa wale close confidants wake mlemle ndani ya Vatican!?

Ndo maana inasemekana,pamoja na jitihada kubwa za Vatican/Catholic machine kuficha "kashfa"/ukweli huu...lakini solution ga mwisho walimlazimisha ku-resign!...hii ni baada ya kuwa under surveilance kwa muda mrefu mno!? Duuuh!

Pope Benedict,alikataliwa na Vatican hata kwenda kuishi nje ya Vatican/preferably kwao Germany ili kwenda kumalizia mwisho wa uhai/maisha yake hapa duniani!? Daah!

Pana habari nyangine,yakua wale maharamia/Mafioso aka Vatican insiders wamemweka under house arrest!...japo kwenye macho ya dunia analazimishwa/alilazimishwa kuonyesha yakua everything is rosy n kool!? Daah! Teeeh! Teeeh! Teeeh!

Kwa kifupi Mkuu,inaelekea weye sio Mkatoliki!?...sasa ngoja waje wenyewe hapa,labda watatupa ufafanuzi zaidi!?

Calling; Remote,Mzito Kabwela,Matola,Nicholas,Yericko Nyerere na Mkuu Tedo!

Ahsanta sana!

gombesugu
 
hapo ndipo palipo na kipimo cha hakili kwa mwanadamu kusujudia mti. kazi kwelikweli

au kusujudia jiwe jeusi kama lilee la makka kisha unalitandika vitofa kumkulupua shetani...Yani watu wanafunga safari kwenda makka kupiga mawe shetani aamke nyumbani kwake cjui aende wapi
 
hapo ndipo palipo na kipimo cha hakili kwa mwanadamu kusujudia mti. kazi kwelikweli

Alafu tedo ni mzushi sana baada ya kuita huo mti wake wa mninga 'MTI' eti yeye anauita 'Bikira Maria!! Maria alishakufa sasa sijui tedo alimfufua akamfanya mninga??
 
Jordani ni moja ya nchi za mashariki ya kat zilizostaarabika sana,hawajilipui kabisa na mabomu.
Pia hata saudi arabia makanisa yapo mengi tu
 
au kusujudia jiwe jeusi kama lilee la makka kisha unalitandika vitofa kumkulupua shetani...Yani watu wanafunga safari kwenda makka kupiga mawe shetani aamke nyumbani kwake cjui aende wapi

Mkuu tuwaombee! japo nimecheka sana kwa lugha uliotumia.Sasa kama jiwe linaitwa shetani na shetani aitwe nani??
 
Nacheka tuu mwenyewe......Mkishapata jibu mkashirikishane kwenye lessoni...

Cheka lakini mchezo wa kuita mti wa mninga na cement za Dangote bikira Maria uache.Mungu hapendi huo ni ukengeufu wa ibada za sanamu.Tangu lini marehemu akawa mti wa mninga na cement.
 
Allah alioa na ana mke mmoja anaitwa Allat na alibahatika kuzaa watoto watatu...sasa inakuwaje waislamu wa leo wanaoa wake tisa na kuzaa watoto wa kumwaga?
 
Jordani ni moja ya nchi za mashariki ya kat zilizostaarabika sana,hawajilipui kabisa na mabomu.
Pia hata saudi arabia makanisa yapo mengi tu

Mkuu,

The first suicide bomber alikua ni Zionist/Jewish terrorist pale Palestine/Star of David Hotel...na aliua British Ambassador/Diplomat!! Daah!

Najua khabar kama hizi huwezi kuzipata/kupewa kwenye hizi mainstream media!?

Hayo Makanisa unayodai yapo pale Saudia...je yapo mji/miji gani na yapo mangapi!?

Je waumini wa hayo makanisa ni watu wa mataifa yapi!?...je pana Wasaudia Wakristo kwa ajili ya makanisa hayo unayodai!?

Je una statistics za "Wasaudia wakristo"!?

Ahsanta sana!
 
Mkuu,

The first suicide bomber alikua ni Zionist/Jewish terrorist pale Palestine/Star of David Hotel...na aliua British Ambassador/Diplomat!! Daah!

Najua khabar kama hizi huwezi kuzipata/kupewa kwenye hizi mainstream media!?

Hayo Makanisa unayodai yapo pale Saudia...je yapo mji/miji gani na yapo mangapi!?

Je waumini wa hayo makanisa ni watu wa mataifa yapi!?...je pana Wasaudia Wakristo kwa ajili ya makanisa hayo unayodai!?

Je una statistics za "Wasaudia wakristo"!?

Ahsanta sana!

mkuu vp,unamfahamu sheik twain gombesugu?
 
Wanao abudu mninga watakuwa na lakujibia a Allah. Chezea mninga wewee!
 
gombesugu

Acha kuweweseka wee!

Mada hapa...ni kwanini Pope/s walisali/wanasali na kufanza ibada nyanginezo kisirisiri na Waislam!?

Je kuna nini kinachoendelea!? Pope na Vatican mna siri gani na Waislam, ambazo Wakatoliki/waumini wenu wa kawaida hawazijui au hamuwaruhusu kuzijua/ku-question!? Daah! Teeeh! Teeeh! Teeeh!
 
Acha kuweweseka wee!

Mada hapa...ni kwanini Pope/s walisali/wanasali na kufanza ibada nyanginezo kisirisiri na Waislam!?

Je kuna nini kinachoendelea!? Pope na Vatican mna siri gani na Waislam, ambazo Wakatoliki/waumini wenu wa kawaida hawazijui au hamuwaruhusu kuzijua/ku-question!? Daah! Teeeh! Teeeh! Teeeh!

Jana katika msikiti wa Idrisa uliopo
kariakoo Dar es salaam zimezuka
vurugu kubwa, baada ya muumini
mmoja kumzimia kipaza sauti Sheikh
Maalim Ally Basaleh na kupinga
nafasi aliyopewa ya kuongea na
kuwaombea dua waislamu
waliohudhuria msikitini hapo.
Akizungumza na Blogu ya ahbaabur
rasuul muumini aliyeshuhudia tukio
hilo bwana Ramadhani Issa alisema,
Sheikh basaleh alipewa nafasi hiyo
baada ya kumalizika kwa swala ya
Ijumaa na Imamu msaidizi wa
msikiti huo.
Sheikh Basaleh aliombwa
kuwasalimia Waislamu na
kuwaombea dua baada ya kurudi
toka Saudi Arabia kwa ajili ya ibada
ya Hijja.
Anasema Ramadhani aliposimama
Sheikh Basaleh na kuanza
kuzungumza ndipo muumini mmoja
ambaye jina lake halikuweza
kupatikana mara moja, akasimama na
kwenda kuzima kipaza sauti ili
Sheikh Basaleh asizungumze.
Baada ya tukio hilo zikazuka vurugu
kubwa na sintofahamu msikitini
hapo ambapo ilibidi waitwe polisi
kutuliza vurugu hizo ambao
walimchukua mtu huyo na kuondoka
nae. Haijafahamika kama mtu huyo
amefunguliwa mashtaka ama la.
Kutokana na vurugu hizo Sheikh
basaleh hakuweza kuzungumza wala
kuwaombea dua waislamu
waliokuwepo msikitini hapo. Hakuna
mtu yeyote alijeruhiwa katika vurugu
hizo.
Msikiti wa Idrisa katika siku za hivi
karibuni umekumbwa na vurugu za
hapa na pale baada ya watu
wanaodaiwa ni waumini wa msikiti
huo kufanya mapinduzi ya kiuongozi
kwa madai kuwa uongozi uliokuwepo
madarakani umeshindwa kuendesha
msikiti na kupelekea uduni wa
huduma za msikiti huo kwa waumini
wanaosali msikitini hapo.
Jitihada za kumtafuta Sheikh Basaleh
na upande unaopinga uongozi
kupata maelezo yao zinaendelea
kufanywa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom