toccara
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 540
- 203
sheikh naye ruksa kuingiaa kanisani mbona.....wenyewe tu wana gwaya
kuna shehe huwa natokea maeneo ya ilala na anakujaga kanisani kwetu tukiwa na sherehe au kama tunamsiba wa watawa
sheikh naye ruksa kuingiaa kanisani mbona.....wenyewe tu wana gwaya
Kuna kitu unakitafuta....au?? hii ilikuwa lesson ya wiki iliyopita ehh...
kuna shehe huwa natokea maeneo ya ilala na anakujaga kanisani kwetu tukiwa na sherehe au kama tunamsiba wa watawa
Mkuu ebu jibu hoja acha kuzunguka kama pia na kujifanya huoni.
Are you the cult one....I mean Seventh Day Adeventist....
Ni uharo gani huu umeandika hapa....Nilikuwa sina mpango wa kuchangia chochote kwenye huu uzi ila umenifanya niandike...
Sijaona hoja ya maana zaidi ya upuuzi....
Ina maana wewe hizo picha hujaziona na link?? nenda page number 2 upate ushahidi,acha kukurupuka kama moto wa gesi.
Sijaona hoja ya maana zaidi ya upuuzi....
Tulimwambia huyo papa akaoge JANABA kwanza ndio aingie msikitini.
Na papa alishatamka hadharani kuwa MUNGU NI MMOJA NA MUHAMMAD NI MTUME WA MUNGU.
Lkn maslahi ya dunia ndio yaliomfanya AFE KAFIRI kwa kuabudu masanamu.
Punguza maneno makali na kashfa...usijeharibu hii thread yako,buree...au!? Daah!
Jibu masuali ya kwenye hizo bayana/posts zangu,Ok!?
Nimepitia na kuzisoma kwa makini bayana takriban zoote hapa jamvini!...lakini bado hazijibu hayo masuali yangu yenye logic kubwa mno!
Hizo picha na maelezo mangine...bado haithibitishi yakua ati Pope alifanza ibada au Sala na Waislam!? Duuh!...kivipi Mkuu!?
Labda nikusaidie,Salah ya Muislam lazim iwe na Sajada na Shahada!...sasa huyo Pope ili kusali pamoja na Waislam kama unavyodai,itakua basi huyo Pope alishahadia,sio!?...na mwenye kushahadia ni lazim atakua amesilimu au Muislam!?
Ahsanta sana!
Kama Kiongozi wako wa kiroho kaenda Msikitini na kuswali kwanini na wewe usiende mheshimiwa tedo???
Sasa, huo ndo ushahidi wa "kusali pamoja"/kufanza ibada!?...kama anavyotuaminisha huyu mleta mada!?
Au labda hapa "tunapishana" Kiswahili tu na hawa jamaa zetu!? Daah! Teeeh! Teeeh! Teeeh!
Ahsanta.
Ndio ni kama ulivyoeleza ila mimi nijuavyo ni kuwa mwislam haruhusu mtu yeyote asie muislam kuingia msikitini bila kusilimu kwanza na ndio maana nikauliza kwa wanaojua zaidi yangu wanieleweshe! je,papa alisilim au ilikuwaje???
una uhakika kwamba saidi arabia hakuna kanisa katoliki?Ungeuliza kwa nini hakuna Kanisa Saudia yote wakati msikiti upo Vatican ungeeleweka zaidi
Hapo ni ndani ya msikiti na vyema soma na link ipo hapo page 1
Mkuu,
Sasa nakhis waanza kuelekea vizuri!
Sikiza,pana tafauti kubwa mno ya kungia Msikiti/kutembelea baadhi ya sehemu za Msikiti au Waislam wanazofanzia ibada...na ile "kuswali pamoja" au "kufanza ibada" na kiumbe ambae si Muislam!?...yaani kama ulivyokua unadai/unajaribu kutuaminisha hapo awali,au!?
Ahsanta.
Nimeandika uharo na je hizo picha za pope nazo ni UHARO?
Kweli itakuweka huru mkuu,kaa chini,tafakari,jiulize maswali kisha utajua zaidi,kujua kutakusaidia kuchagua na kujijua.